Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Waziri wa mambo ya nje wa Argentina Santiago Cafiero amesema tayari ameshamjulisha mwenzake wa Uiengereza James Cleverly nia ya nchi yake kujitoa kwenye mkataba wa mashirikiano uliosainiwa mwaka 2016.
Wakati wa utawala wa Margret Thatcher nchi hizo mbili ziliwahi kupigana mwaka 1982 kuhusiana na visiwa hivyo ambavyo viko masafa ya meli 300 kutoka Amerika ya kusini.
Jumla ya watu 3500 wanaishi kwenye visiwa hivyo. Katika madai yake makongwe Argentina inasema visiwa hivyo vilichukuliwa na Uiengereza visivyo halali mnamo mwaka 1833
Wakati wa utawala wa Margret Thatcher nchi hizo mbili ziliwahi kupigana mwaka 1982 kuhusiana na visiwa hivyo ambavyo viko masafa ya meli 300 kutoka Amerika ya kusini.
Jumla ya watu 3500 wanaishi kwenye visiwa hivyo. Katika madai yake makongwe Argentina inasema visiwa hivyo vilichukuliwa na Uiengereza visivyo halali mnamo mwaka 1833