Argentina yaanza mchakato kuvidai tena visiwa vya Falklands kutoka Uiengereza

Argentina yaanza mchakato kuvidai tena visiwa vya Falklands kutoka Uiengereza

Haililii Falklands Kisha anapeleka jeshi maili 5000 kwenda kupigana!!..acha ujinga
Wakazi wa Falklands ni Waingereza, pale UK ilienda kwa sababu ya watu wake, na hao wakazi wanaipenda Uingereza kuliko inavyowapenda wao.
Kupeleka jeshi sio shida, mara ngapi UK imepeleka majeshi nako utasema inawalilia? Ilipokuja Tanganyika kuzima mutiny pale Lugalo ilikuwa inawalilia wabongo?
 
Wakazi wa Falklands ni Waingereza, pale UK ilienda kwa sababu ya watu wake, na hao wakazi wanaipenda Uingereza kuliko inavyowapenda wao.
Kupeleka jeshi sio shida, mara ngapi UK imepeleka majeshi nako utasema inawalilia? Ilipokuja Tanganyika kuzima mutiny pale Lugalo ilikuwa inawalilia wabongo?
ilienda kwa ajili ya watu wake au ilienda ikidai hiyo ardhi ni sehemu ya nchi yake!?..hivi tz idai visiwa vya Fiji ni vyake maelfu ya maili huko kisa wafiji walitokea rufiji!?
 
ilienda kwa ajili ya watu wake au ilienda ikidai hiyo ardhi ni sehemu ya nchi yake!?..hivi tz idai visiwa vya Fiji ni vyake maelfu ya maili huko kisa wafiji walitokea rufiji!?
Hao raia wa Fiji hata Tz wanaijua? Tanzania yenyewe inawajua, ina hata meli za kufika uko? Na nani kakwambia Fiji wametoka Rufiji, wao wanatambua hivyo au ni uswahilini wenu na kujipendekeza kama kusema Rashford wa Manchester United ni Rashid Makame katokea Unguja?

Falklands iko chini ya UK tangu kabla ya karne ya 19, Argentina karne ya 20 ndio ikaja kuidai. Tanzania haina hata uwezo wa kuvua samaki waliopo kilomita 100 baharini wewe unawaza habari za naval mission
 
Hili swala lilishawahi kutamkwa midomoni wa watu wa Argentina tangu miaka ya huko nyuma, hebu sikiliza hapa;

 
Hao raia wa Fiji hata Tz wanaijua? Tanzania yenyewe inawajua, ina hata meli za kufika uko? Na nani kakwambia Fiji wametoka Rufiji, wao wanatambua hivyo au ni uswahilini wenu na kujipendekeza kama kusema Rashford wa Manchester United ni Rashid Makame katokea Unguja?

Falklands iko chini ya UK tangu kabla ya karne ya 19, Argentina karne ya 20 ndio ikaja kuidai. Tanzania haina hata uwezo wa kuvua samaki waliopo kilomita 100 baharini wewe unawaza habari za naval mission
Kabla ya Falklands kuwa chini ya uingereza ilikua ya nani!?..una matatizo gani!?..kati ya uingereza aliye maili elfu Tano Argentina 300km nani mmiliki wa hicho kisiwa!?..nani akikitumia!?..of course wafiji wenyewe ndiyo wasemao babu zao waliwaambia wanatokea rufiji,vipi mzungu mweusi,unaumia!?
 
Kabla ya Falklands kuwa chini ya uingereza ilikua ya nani!?..una matatizo gani!?..kati ya uingereza aliye maili elfu Tano Argentina 300km nani mmiliki wa hicho kisiwa!?..nani akikitumia!?..of course wafiji wenyewe ndiyo wasemao babu zao waliwaambia wanatokea rufiji,vipi mzungu mweusi,unaumia!?
Wewe ni kilaza na huwezi weka source ya data zako ulizotoa uko uchochoroni. Nenda kasome wataalamu wa historia wanasema Fijians wametoka wapi, kasome Fijians wenyewe wanaclaim kutoka wapi, social structure yao na mfanano wa jamii yao na jamii asili yao, bila kusahau lugha. Shobo, kujipendekeza na upumbavu tu ndio umekujaa, Fiji haijui lolote kuhusu Tanzania. Lazima nitumie lugha kali dhidi yako ili siku nyingine ukitaka kuongea utumie akili.

Umeuliza kabla ya Falklands kuwa chini ya Uingereza ilikuwa ya nani. Well, miaka ya 1700s Waingereza walipotia nanga pale walikuta binadamu hata mmoja?
Sasa kama hakukuwa na mtu na watu wa kwanza kukanyaga ardhi ile ni Waingereza unasemaje kisiwa ni cha Argentina. Walikuwa wanamiliki kisiwa ambacho hawajui kama kipo?

Unajua claim za Argentina kuhusu Falklands zinaanzia mwaka gani, na haki ya kuwa navyo visiwa wanasema ilianza lini, na hivyo visiwa Waingereza walianza kuishi lini?
 
Kwwe ni kilaza na huwezi weka source ya data zako ulizotoa uko uchochoroni. Nenda kasome wataalamu wa historia wanasema Fijians wametoka wapi, kasome Fijians wenyewe wanaclaim kutoka wapi, social structure yao na mfanano wa jamii yao na jamii asili yao, bila kusahau lugha. Shobo, kujipendekeza na upumbavu tu ndio umekujaa, Fiji haijui lolote kuhusu Tanzania. Lazima nitumie lugha kali dhidi yako ili siku nyingine ukitaka kuongea utumie akili.
Umeuliza kabla ya Falklands kuwa chini ya Uingereza ilikuwa ya nani. Well, miaka ya 1700s Waingereza walipotia nanga pale walikuta binadamu hata mmoja?
Sasa kama hakukuwa na mtu na watu wa kwanza kukanyaga ardhi ile ni Waingereza unasemaje kisiwa ni cha Argentina. Walikuwa wanamiliki kisiwa ambacho hawajui kama kipo?

Unajua claim za Argentina kuhusu Falklands zinaanzia mwaka gani, na haki ya kuwa navyo visiwa wanasema ilianza lini, na hivyo visiwa Waingereza walianza kuishi lini?
Kwa hiyo muda wote huo ulienda kutafuta uhusiano wa Fiji na Tanzania na hujapata!?..wewe ni punguani...tafuta tu kirahisi hata humu jf utapata Hilo suala tulilijadili siku za nyuma kipindi unagombea viporo kwenu,kuhusu hao wazungu unaowatetea unafanya ujinga, Falklands haiwezi kuwa haijakanyagwa na mtu miaka yote mpaka 1700 walipoenda mabwana zako waingereza,unatafuta source za waingereza kuonesha Hilo,una akili timamu!?
 
Waziri wa mambo ya nje wa Argentina Santiago Cafiero amesema tayari ameshamjulisha mwenzake wa Uiengereza James Cleverly nia ya nchi yake kujitoa kwenye mkataba wa mashirikiano uliosainiwa mwaka 2016.

Wakati wa utawala wa Margret Thatcher nchi hizo mbili ziliwahi kupigana mwaka 1982 kuhusiana na visiwa hivyo ambavyo viko masafa ya meli 300 kutoka Amerika ya kusini.

Jumla ya watu 3500 wanaishi kwenye visiwa hivyo. Katika madai yake makongwe Argentina inasema visiwa hivyo vilichukuliwa na Uiengereza visivyo halali mnamo mwaka 1833

f7f99af037f54fb2b78ddc636c530b4f
Beberu wa Magharibi amejimilikisha kisiwa huko Amerika ya Kusini, wengine wamejimilikisha visiwa huku Africa mpaka huko Asia.
 
Na huu ndio muda sahihi wa Argentina kuvidai hivyo visiwa iwapo wana maslahi navyo kwani Uiengereza yenyewe iko hoi haiwezi tena kupigana kama mwaka 1982,
Teh teh teh 😂😂 kichekesho hiki...
 
Kwwe ni kilaza na huwezi weka source ya data zako ulizotoa uko uchochoroni. Nenda kasome wataalamu wa historia wanasema Fijians wametoka wapi, kasome Fijians wenyewe wanaclaim kutoka wapi, social structure yao na mfanano wa jamii yao na jamii asili yao, bila kusahau lugha. Shobo, kujipendekeza na upumbavu tu ndio umekujaa, Fiji haijui lolote kuhusu Tanzania. Lazima nitumie lugha kali dhidi yako ili siku nyingine ukitaka kuongea utumie akili.

Kwa hiyo muda wote huo ulienda kutafuta uhusiano wa Fiji na Tanzania na hujapata!?..wewe ni punguani...tafuta tu kirahisi hata humu jf utapata Hilo suala tulilijadili siku za nyuma kipindi unagombea viporo kwenu,kuhusu hao wazungu unaowatetea unafanya ujinga, Falklands haiwezi kuwa haijakanyagwa na mtu miaka yote mpaka 1700 walipoenda mabwana zako waingereza,unatafuta source za waingereza kuonesha Hilo,una akili timamu!?
Nitafute uhusiano ambao haupo?
Ni upunguani kujipendekeza kwa Fijians. Hawajui hata Tanzania ni kitu gani sembuse hiyo Rufiji. Au unadhani Fijians ndio weusi tu ukanda ule, aborigines wa Australia ni Waafrika? Weusi wa Haiti, Papua New Guinea na majirani hapo nao wametoka Afrika?

Ni makosa kudhani kila mweusi ni mwafrika na kila mweusi asili yake Afrika. Au na Red Indies wa Marekani utasema walitoka India
 
Nitafute uhusiano ambao haupo?
Ni upunguani kujipendekeza kwa Fijians. Hawajui hata Tanzania ni kitu gani sembuse hiyo Rufiji. Au unadhani Fijians ndio weusi tu ukanda ule, aborigines wa Australia ni Waafrika? Weusi wa Haiti, Papua New Guinea na majirani hapo nao wametoka Afrika?

Ni makosa kudhani kila mweusi ni mwafrika na kila mweusi asili yake Afrika. Au na Red Indies wa Marekani utasema walitoka India
Babu, wewe mjinga,una mtindio, kajadiliane na wajinga wenzio
 
Naomba kuuliza,hicho kisiwa wanachogombea kilimo cha njegere kinaweza kukubali?
 
Yani tamaa mbaya sana Argentina wana linchi likubwa vibaya mno ila bado wana taka hivyo visiwa kweli???
 
Nitafute uhusiano ambao haupo?
Ni upunguani kujipendekeza kwa Fijians. Hawajui hata Tanzania ni kitu gani sembuse hiyo Rufiji. Au unadhani Fijians ndio weusi tu ukanda ule, aborigines wa Australia ni Waafrika? Weusi wa Haiti, Papua New Guinea na majirani hapo nao wametoka Afrika?

Ni makosa kudhani kila mweusi ni mwafrika na kila mweusi asili yake Afrika. Au na Red Indies wa Marekani utasema walitoka India
Kaka ukifatilia vyema utagundua kuwa huyo jamaa yupo sahihi kuhusu Fiji, hata baadhi ya mikoa ya Tz wanaifahamu na lugha zao za asili zina fanana na Waha wa Kigoma.
Kinaweza kuwa kitu kipya kwako lakini sio kwa wote.
 
Kaka ukifatilia vyema utagundua kuwa huyo jamaa yupo sahihi kuhusu Fiji, hata baadhi ya mikoa ya Tz wanaifahamu na lugha zao za asili zina fanana na Waha wa Kigoma.
Kinaweza kuwa kitu kipya kwako lakini sio kwa wote.
Scientifically all people originated from Africa, ila Fijians hawatoki Tanzania. Asili ya watu haikuwa inapaa inaenda kutua ukanda fulani, hakukuwa na meli inayosafirisha wahamiaji. Kama Fijians wangekuwa na asili ya Tanzania walitakiwa waache jamii zinazowafanana kule walikopita. Wangoni walitoka South Africa kuja Tanzania, nchi za Kusini kwa Tanzania unakutana na Wangoni. Hawakufyatuka tu kutoka Afrika Kusini wakafika Tanzania.

Hakuna mtu angeweza kutoka Kigoma akasafiri kwa maji mpaka visiwa vya Fiji. Afrika hii ilikutwa na wazungu, Waafrika hawakujua kama kuna bara lina wazungu ila wazungu walilijua dark continent. Sisi sio watu wa sea voyages, ambaye angesafiri angefia safarini baada ya miaka kadhaa kama angeenda direct, na vyombo vya kubeba watu wengi pamoja na supplies zao havikuwepo, kwamba wangezaana humohumo akafa wazazi na watoto wakafika Fiji.
Endapo wangesafiri kwa kutulia sehemu wangeacha baadhi ya vizazi pale. Sasa kisiwa gani kingine wametokea Tanzania?

From Tanzania to Fiji Islands ni more than 15,000km. Hakuna uwezekano wa watu kutoka Tanganyika maelfu ya miaka iliyopita wafike Fiji bila kuacha vizazi njiani, sasa from Tz kwenda Fiji njia ya karibu unapita Southern Asian countries. Kuna weusi kule? Au kina Indonesia, Philippines, Malaysia, Brunei? Au utawasingia black Indians wale wa Kusini wanaobaguliwa.

Alternative wangepita Western, wangeingia Congo wakate bahari mpaka wafike South America. Wakate Brazil wavuke upande mwingine kina Argentina na Chile uko kisha waache bara wakate bahari waingie visiwa vya Fiji. Sasa mbona South America haikuwa na weusi mpaka pale walipopelekwa na wakoloni?

Fijians ni Melanesians, wana ufanano na majirani zao Papua New Guinea na kwa mbali Indonesia. Mtu anayesema Wafiji wametoka Tanzania namchukulia mwenye uelewa wa kawaida sana na asiyetumia common sense.

Hapa nimeeleza kwa elimu ya shule ya msingi, zaidi ya hapo kuna tens of reasons kukataa hoja yako
 
Scientifically all people originated from Africa, ila Fijians hawatoki Tanzania. Asili ya watu haikuwa inapaa inaenda kutua ukanda fulani, hakukuwa na meli inayosafirisha wahamiaji. Kama Fijians wangekuwa na asili ya Tanzania walitakiwa waache jamii zinazowafanana kule walikopita. Wangoni walitoka South Africa kuja Tanzania, nchi za Kusini kwa Tanzania unakutana na Wangoni. Hawakufyatuka tu kutoka Afrika Kusini wakafika Tanzania.

Hakuna mtu angeweza kutoka Kigoma akasafiri kwa maji mpaka visiwa vya Fiji. Afrika hii ilikutwa na wazungu, Waafrika hawakujua kama kuna bara lina wazungu ila wazungu walilijua dark continent. Sisi sio watu wa sea voyages, ambaye angesafiri angefia safarini baada ya miaka kadhaa kama angeenda direct, na vyombo vya kubeba watu wengi pamoja na supplies zao havikuwepo, kwamba wangezaana humohumo akafa wazazi na watoto wakafika Fiji.
Endapo wangesafiri kwa kutulia sehemu wangeacha baadhi ya vizazi pale. Sasa kisiwa gani kingine wametokea Tanzania?

From Tanzania to Fiji Islands ni more than 15,000km. Hakuna uwezekano wa watu kutoka Tanganyika maelfu ya miaka iliyopita wafike Fiji bila kuacha vizazi njiani, sasa from Tz kwenda Fiji njia ya karibu unapita Southern Asian countries. Kuna weusi kule? Au kina Indonesia, Philippines, Malaysia, Brunei? Au utawasingia black Indians wale wa Kusini wanaobaguliwa.

Alternative wangepita Western, wangeingia Congo wakate bahari mpaka wafike South America. Wakate Brazil wavuke upande mwingine kina Argentina na Chile uko kisha waache bara wakate bahari waingie visiwa vya Fiji. Sasa mbona South America haikuwa na weusi mpaka pale walipopelekwa na wakoloni?

Fijians ni Melanesians, wana ufanano na majirani zao Papua New Guinea na kwa mbali Indonesia. Mtu anayesema Wafiji wametoka Tanzania namchukulia mwenye uelewa wa kawaida sana na asiyetumia common sense.

Hapa nimeeleza kwa elimu ya shule ya msingi, zaidi ya hapo kuna tens of reasons kukataa hoja yako
Fanya uchunguzi urudi usitumie maarifa ya shule ya msingi mkuu.
 
Back
Top Bottom