3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Huna swali wewe... point huna umebaki kupenga tuNIJIBU SWALI LANGU ACHA KUTAPATAPA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna swali wewe... point huna umebaki kupenga tuNIJIBU SWALI LANGU ACHA KUTAPATAPA.
2018 Modric alibeba d'or ..je messi msimu huo hakucheza?Huyo ronaldo ndio maana alinyimwa ballon d,or 2018 kwasababu hatoi mchango madhubuti kazi yake ni kulishwa magoli tu.Ndio maana watu kama modric waliokua wakimpikia magoli ronaldo wakapata tuzo yao.
We juhudi waoneshe wengine yeye acheze nyonde nyonde achukue ujiko?!Yani atleast messi team ikiwa inaelemewa kuna kitu atafanya mfano mechi dhidi ya mahasimu wenyewe realmadrid na Barcelona.ila ona Realmadrid ikikamatwa kironaldo chako kinafumbata makalio kipindi kipo real.
Ndio unataka kumfananisha mviziaji na playmaker.
MIMI NITAMKUBALI RONALDO KAMA MCHEZAJI BORA PALE ATAKAPOMZIDI MESSI KWA ASSIST MAANA YEYE SI ANAJUA KUTOA MCHANGO.
NA CHA MWISHO ATAKAPOWEZA KUSHINDA MAGOLI 91 KTK KALENDA YA MWAKA KAMA ALIVYOFANYA MESSI AMBAYE ALIKUA NAFASI YA KIUNGO.FULL STOP WEW RONALDO KAANZA KUCHEZA MIAKA MIWILI KABLA YA MESSI LAKINI JUMLA YA MAGOLI RANK ZIKO SAWA.ASA JE WANGEANZA PAMOJA?!
De jong ni mtoto?... Blind ni mtoto?Kuna mechi ambazo Real inachakazwa Ronaldo yupo ndani na hajafanya kitu kama Barca ilivyoifunga real 4 bila kipind cha Neymar Ronaldo wako alitulia km hanithi.
Aya JUVENTuS anatolewa na Ajax uwanja wake Ronaldo yupo wanachezeshwa pasi tu.
Nilitegemea ronaldo akienda juve atashinda hatrick km real.loo asalalee astara Vista nothing he is doing mpk Juve inatolewa ni vitoto hata experience ya Uefa hawana.
Bora Liverpool walitinga final na real madrid kumtoa barca ambayo inacheza kiteam messi sishangai.
Ila hiyo ajax inayotokaga hatua ya makundi wa kumtoa juve kweli mweye experience kubwa ya uefa Ronaldo akiwa ndani?!
Kweli Ronaldo hajui
De jong ni mtoto?... Blind ni mtoto?
Hivi unajua AJAX ana uefa ngapi hadi useme hawana uzoefu?
Mbona husemi ronaldo kabeba uefa 3 mfululizo...
mbona husemi ronaldo kila anapokanyaga anabeba ndoo.
Ronaldo hajui sawa lakini analisaidia taifa lake mbona husemi.
Chicharito anavizia ana d'or ngapi?
Siendelei huna akili
De jong ni mtoto?... Blind ni mtoto?
Hivi unajua AJAX ana uefa ngapi hadi useme hawana uzoefu?
Mbona husemi ronaldo kabeba uefa 3 mfululizo...
mbona husemi ronaldo kila anapokanyaga anabeba ndoo.
Ronaldo hajui sawa lakini analisaidia taifa lake mbona husemi.
Chicharito anavizia ana d'or ngapi?
Siendelei huna akili
NIELEZEE KILICHOMFANYA RONALDO ASHINDWE KUIFUNGA AJAX HATRIK KM ALIVYOKUWA AKIIFUNGA BAYERN PIND YUPO REALMADRID.Huna swali wewe... point huna umebaki kupenga tu
Unaangaliaga uchambuzi wa mpira ww.?!2018 Modric alibeba d'or ..je messi msimu huo hakucheza?
De jong ni mtoto?... Blind ni mtoto?
Hivi unajua AJAX ana uefa ngapi hadi useme hawana uzoefu?
Mbona husemi ronaldo kabeba uefa 3 mfululizo...
mbona husemi ronaldo kila anapokanyaga anabeba ndoo.
Ronaldo hajui sawa lakini analisaidia taifa lake mbona husemi.
Chicharito anavizia ana d'or ngapi?
Siendelei huna akili
Kilichomshinda muulize messi wanaongoza 3 wanaenda kula 4.Nijibu swali langu naona unalikwepaNIELEZEE KILICHOMFANYA RONALDO ASHINDWE KUIFUNGA AJAX HATRIK KM ALIVYOKUWA AKIIFUNGA BAYERN PIND YUPO REALMADRID.
AU HUKO NA YEYE AMEKOSA KUTUMIA UWEZO BINAFSI MPAKA AKATOLEWA NA AJAX?
unajua maana ya uzoefu?... Timu inacheza uefa kila mwaka unasema haina uzoefu na ndio wana academy bora duniani..Lewandowski mviziaji mwenzake kaweka record ya kushinda magoli matano ndani ya dakika tisa.
Ni kitu ambacho Ronaldo kashindwa kifanya.
Unapozungumzia uviziaji wapo wa kumpatia mbadala huyo mviziaji wako km Lewandowski.
Lakini tembea dunian kwa sasa huwez kumpata kiungo fundi ama namba kumi fundi kama messi hakuna.
Kwasababu hakuna aliyewahi fanya maajabu kama yeye hakuna.
Ni kiungo lakini kaweka record ambazo viungo wengine hawawez zivunja.
YANI ULIVYO HUNA AKILI UNAMFANANISHA DEJONG NA DYBALA AMA DOUGLAS COSTA WALIOTIMBA FAINAL MBILI UEFA WE HUNA AKILI TIMAMU.
NA HUJUI MPIRA.
UNAPOANGALIA EXPERIENCE YA TIMU TIZAMA WACHEZAJI WAKE WA SASA HIVI.
SIO WALE WALIOPITA.
Ronaldo ametoka utd 2009 kwenda madrid.. we ulitaka aozee madrid.?Hujiulizi kwann Perez alimgomea Ronaldo kumuongeza mshahara.?!
Maana ni mviziaji tu nothing else.Ila unapomzungumzia messi team km Manchester city wanamtaka kwasababu wanajua jamaa ni play maker mzuri pale katikati.
NIELEZE KINACHOMSHINDA MESSI ANAFIKA FAINAL 3 ANAKOSA ZOTENijibu swali langu naona unalikwepaNIELEZEE KILICHOMFANYA RONALDO ASHINDWE KUIFUNGA AJAX HATRIK KM ALIVYOKUWA AKIIFUNGA BAYERN PIND YUPO REALMADRID.
AU HUKO NA YEYE AMEKOSA KUTUMIA UWEZO BINAFSI MPAKA AKATOLEWA NA AJAX?
Hawezi jua vitu Kama hivyo labda a Google,anachojua Ni ushabiki tu na mapenz ya mpira yaliyopitiliza bila kujali uhalisiaUnaifahamu historia ya watu weusi argentina na nini kilipelekea mpaka watu weusi argentina kuwa 1% tu?
Ebu nitajie mchezaji mbaya unaemuona kwenye hiyo timu ya Argentina ambae kwa mtazamo wako ewew Ni mzigo halafu tuendelee.Ona ulivyo mgumu kuelewa aisee!!
Messi hana watu wazury wa kushirikiana naye ndio maana kila anapojitahidi ku cope with team team inamuangusha.
Au huelewi kiswahili mzee.
Ingekuwa yupo spain inamaana angekutana na watu wazury wa ku cope nao km Ronaldo alivyo Portugal labda nikujuze hapo.
Mfano mzury ni ile baba anajitahidi kulea vema watoto ila mama haoneshi ushirikiano mpk ina results watoto hawaongokewi km inavyotakikana.
Lakin sio km hawez malez baba hapana ila mshirika wake haoneshi ushirikiano ndio sawa kinachomkuta messi.
TAFAKARI ANDIKO KABLA HUJAKURUPUKA
Modric aliipeleka crotia fainali ya dunia...ndipo alipompitia Ronaldo vinginevyo ni Ronaldo tu angechukua kulikuwa hakuna ubishi.Unaangaliaga uchambuzi wa mpira ww.?!
Messi kipindi anatolewa na Roma alikuwa ana rate kubwa uefa kuliko wote.
Na kama angeweza kubeba uefa angelichukua ballon d,or.
Lakini kutolewa uefa kukamfanya abakie na big rates zake zisizoongezeka wenzake wakapita na kuongeza rates kisha kuchukua ballon d,or.
Tumzungumzie Ronaldo ambaye uefa kachukua na tuzo hawajampa kaambulia tu kiatu cha mshindaji bora.Kipi kimempata mpk modric akabeba tuzo kumzidi kwa mwaka 2018?
Hapo ndipo unatakiwa utofautishe anayefanya play making ktk team na mmaliziaji.
Hata kama kombe la dunia lisingekuwepo modric angechukua tuzo.Modric aliipeleka crotia fainali ya dunia...ndipo alipompitia Ronaldo vinginevyo ni Ronaldo tu angechukua kulikuwa hakuna ubishi.
Ebu nitajie mchezaji mbaya unaemuona kwenye hiyo timu ya Argentina ambae kwa mtazamo wako ewew Ni mzigo halafu tuendelee.
Messi Ni mchezaji mzuri hakuna anaebisha Hilo ila NJE YA BARCELONA HAKUNA LOLOTE ANALOWEZA KUJISIFIA KAFANYA LA MAANA!!!NA HUO NDIO UKWELI MCHUNGU.
Hata ukiniuliza nikiwa natoka usingizi hakuna mwingine zaidi ya Ronaldo...kazi aliofanya dhid ya psg plus Juventus..modric alipewa tu sababu ya mafanikio ya taifa huo ndio ukweli.Hata kama kombe la dunia lisingekuwepo modric angechukua tuzo.
Kwasababu kiungo bora ulaya alichukua yeye,mchezaji bora uefa alichukua yeye.
Ronaldo alipewa tuzo ya mfungaji bora tu.
Aya we unadhani nan angepewa ballon d or.