Asa conclusion yangu mimi ni kwamba mchezaji anapocheza iwe ni professional ama normal player anahitaji team chemistry nzuri.
Kama umekubali hata messi angekuwa man United ya moyes asingetamba,basi wafaa kukubali kuwa tatizo lililomfanya messi kutokupata kitu tema ya Taifa ni Argentins kiujumla sio yeye.
Vuta picha messi angekubali kuwa na utaifa wa Spain,halafu akakaa no 10 anakutana na iniesta,alcantara,team zisingepona kirahisi.
Ila ww unacheza ni michezaji unaingiza mpira kat washinde hata kujiposition hawajui.
Mfano mzury itizame mechi ya Argentins na Spain mpk wakachabangwa sita Argentins,ile mechi km uliiangalia Argentins hawana team work kabbisa yani na bora hata messi hakuingia.
Ndio maana mm kwa team za Taifa nazisifia Ulaya kwasababu ulaya hao hawaangalii tuna messi sijui Ronaldo.Wao wanaangalia tutachezaje kwa team work na tutamtumiaje mchezaji nguli kwa kuonesha ushrikiano ili tushinde
Sio walatin hawa wanakalia mpira wa kuonekana.
Mfano mzuri wewe Brazil 2018 sio ya kutolewa na Belgium hata kidogo.
Sio Ronaldo tu hata huyo Messi kwa man untd unayoisema ewew hasingepata chochote,mm nimekujibu kadri ulivyouliza kwani kabla ya huyo Ronaldo hapo Manchester ya Ferguson imetoa wachezaji wangapi Bora duniani!?