Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeKiruuu
Hao waache waendelee kuuza maziwa
Ukiangalia timu za Taifa za wenzetu zinavyocheza ndo utajua Tz tuna safari ndefu sanaaaaaa
Kabisa nimewaelewaBeki lines ya Senegal iko vizuri
Ila Tanesco mabufukunyuku sana, wamewasha na mimi nikaamua kuwasha tv, hata tv haijawaka wamekataa..
Kabisa..Yani wazungu wanacheza na Senegal kwa taadhari kubwa wanajua wanacheza na miamba ya soka barani Africa
Hata kipa wanae, sio kama yule shati la jana (team ya Qatar) SAADSenegal wana beki
🤣🤣Ila Tanesco mabufukunyuku sana, wamewasha na mimi nikaamua kuwasha tv, hata tv haijawaka wamekataa..
Kitenge sijui kwanini watu wanamchukulia serious, jamaa huwa ana utoto mwingi sana.Anazingua kitenge
Taifa Stars haiwezi kumsahau, dogo ana kipaji kinaonekana.Huyu Diatta huyu
Mrefu kama peter crouchKipa kaiona