Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mtu kala ngapi?
Kapigwa Eagle goli moja na mfumgaji ni Kyombo

Sasa muda nao andika hiyo post kulikuwa kuna shambulizi ambalo Simba walikuwa wanalifanya

Golikipa wa Eagle si akatokea ili kufanya save akajikuta kavuka kwenye eneo lake na hawezi tena kuudaka ule mpira ikabidi aubutue nje uwe wakurusha

Sasa baada ya mpira kutoka akawa anarudi golini kujipanga wakati huo nao Simba wakataka kutumia advantage kurusha fasta fasta wafunge bao kwasababu golikipa yupo mbali na goli

Simba wakarusha fasta fasta wakapiga shuti moja kwa moja golini wakati kipa bado hajafika, sasa kulikuwa na mabeki wako eneo hilo na mpira umekuja kimo cha juu ambapo hawawezi kuuzuia, so ikawabidi waudake ili kufanya save usiingie moja kwa moja kwasbabu bora iwe penati kipa anaweza kuucheza

Mwisho wa siku imewekwa penati Moses Phiri katia kamba
 
Hawa Ureno hawa wamekuja kwa kasi sana, wanaliandama lango la Morroco kinyama
 
Back
Top Bottom