Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Nasema hainaga ushemeji tunayoagaaaaaa
Zamu ya nani leo zamu ya CR7
 
Nipo nipo. Si unajua tena amka za weekend na hangover za Burazili jana. Naamka nakuta game ishaanza, nikazama kwenye TV hata nisiwaze kuingia huku kwanza. Hapa furaha kama yote. Viva Morocco, Viva Africa. Kilichonifurahisha zaidi ni Ronaldo naye kulia. Angelia na Messi jana ingekuwa poa sana.
 
Raha ni kwa waafrika wote. Wanaosema eti waarabu ni wajinga tu.
Tena ni ujinga uliovuka hata mipaka ya ujinga wenyewe!

Watu hawafahamu kwamba hizi good performance zikiendelea kwa timu kutoka Afrika kufanya vizuri, basi siku za usoni nchi zinazowakilisha Afrika zinaweza kuongezwa!!

Nchi zitakazoongezwa ni kutoka Afrika na sio kutoka nchi za Kiarabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…