Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Tulisema kbs hawa Morocco ni wabaya leo wamezid kushangaza watu..

Tulisema asipolewa sifa semi anacheza na kwl kacheza.

Washabik wa cr7 ss mtulie kama mnanyolewa Mnachoweza kufny kwa sbb ni kushabikia kwa nguvu zote kila. Mpinzan wa Argentina [emoji23]

Vamoooooooooooooooooos[emoji1033]
Nasema hainaga ushemeji tunayoagaaaaaa
Zamu ya nani leo zamu ya CR7
 
I am going to tell Piers Morgan
A38E4DF5-92CE-442B-AE56-174AC5300652.jpeg
 
Nipo nipo. Si unajua tena amka za weekend na hangover za Burazili jana. Naamka nakuta game ishaanza, nikazama kwenye TV hata nisiwaze kuingia huku kwanza. Hapa furaha kama yote. Viva Morocco, Viva Africa. Kilichonifurahisha zaidi ni Ronaldo naye kulia. Angelia na Messi jana ingekuwa poa sana.
 
Raha ni kwa waafrika wote. Wanaosema eti waarabu ni wajinga tu.
Tena ni ujinga uliovuka hata mipaka ya ujinga wenyewe!

Watu hawafahamu kwamba hizi good performance zikiendelea kwa timu kutoka Afrika kufanya vizuri, basi siku za usoni nchi zinazowakilisha Afrika zinaweza kuongezwa!!

Nchi zitakazoongezwa ni kutoka Afrika na sio kutoka nchi za Kiarabu!
 
Back
Top Bottom