Hapana badoNasikia Mpira wa Kane ndio unadondoka saa hii huko Tandahimba.
Jamaa biingwa la kupaisha yaani.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kabla ya mechi "France leo hachomoki kwa England hata kwa dawaView attachment 2442406
Hiki ndio kilikuwa kizazi bora cha England nacho kilitoka patupu. Hawa madogo bado sana labda WC ijayo.
Hapo uhakika mzee waache tu wajitoe akili hao.Tunguli linasema
Morocco vs Argentina
Na Morocco ndie champion.
I tafuta comment niliyo sema "France leo hachomoki hata kwa dawa ".Kabla ya mechi "France leo hachomoki kwa England hata kwa dawa
Baada ya mechi "Hiki ndio kilikuwa kizazi bora cha England nacho kilitoka patupu. Hawa madogo bado sana labda"
Hawa ndio binadamu wa kisasa
AbiCroatia Vs Morocco
Wewe utabiri wako ni upi?
Na mi sitaki ujitoe JF nitakuwa nimekukatiri sana bila kushuhudia uondo wa France hapa jamviniI tafuta comment niliyo sema "France leo hachomoki hata kwa dawa ".
UKIIPATA NAJITOA JF NA SITUMII JF TENA.
Tutabiri nini wakati ushamaliza. Hivyo ndiyo ilivyo. This time for AfricaCroatia Vs Morocco
Wewe utabiri wako ni upi?
Nipe mjiMtaje
Wewe lazima ni mke wa ndoa za mitala. Mpaka leo unateseka kwasababu huyo jamaa alienda Qatar kuangalia kombe la dunia?Habari yako Championship
Shida ni kuona akinyanyua kwapa?Nitarudi hapa siku ya fainal kumtazama messi akinyanyua kwapa
Siwe wengine hatupendi uzushi na maneno ya kike ya kuzushiana.Na mi sitaki ujitoe JF nitakuwa nimekukatiri sana bila kushuhudia uondo wa France hapa jamvini
We mwenyewe unaonaje kwanza flavour ya mpira anayoitoa France?
Kwani hujaelewa kama nimetania au ni sles za kufungwa?Siwe wengine hatupendi uzushi na maneno ya kike ya kuzushiana.
Nitafutie comments ambayo nimesema
"France leo hachomoki hata kwa dawa ".
Utakufa kwa chuki kijana. Kombe la Messi hili bila wasiwasi wowote. Tena england ndio nilikuwa nawahofia maana kuna historia fulani.Nilikuwa na timu moja. Nayo leo imeaga..nami naaga.
Ila maombi yangu ni Argentina aishie hapo hapo. Asiende fainali.
Mshaanza kubadilisha mabwana?Subiri morroco aku fi....