Morocco wanakusubiri kwa hamu kuweka rekodi mpya ya kutinga fainali...😂😂Waaaah France
Moto si wa kitoto
Duh!...wewe ni mfaransa wa kuzaliwa au kuhamia ?..🙄🙄🙄..Morrocco amekutana na timu nayoikubali ambapo hata katika hiyo nafasi ya Morrocco angekuwa Taifa Stars bado nisingeshabikia Timu ya taifa langu
Kuota ndoto inaruhusiwa.Morocco wanakusubiri kwa hamu kuweka rekodi mpya ya kutinga fainali...[emoji23][emoji23]
Tutakumbushana inshaallah...
Hata mimi Kombe la Dunia 2010 mechi Kati ya Brazil dhidi ya Ivory Coast nilikuwa upande wa chama langu Brazil.Watu hatuishabikii Morroco sio kwasababu ya yule kibopa liyezingua (actually inaweza kuwa sababu sometimes)
Morrocco amekutana na timu nayoikubali ambapo hata katika hiyo nafasi ya Morrocco angekuwa Taifa Stars bado nisingeshabikia Timu ya taifa langu
Hata mimi Kombe la Dunia 2010 mechi Kati ya Cote d'ivoire na Brazil nilishabikia chama langu Brazil.Ila wabongo kwenye ishu ya Morroco wanapigana kamba sana wengine wanasema "hawapo AU kisa kujiona wao sio waAfrica " wakati wapo AU wamerudi na walijitoa sababu ya kuona AU hawatendi haki kuhusu mgogoro wao dhidi ya Sahara ya Magharibi..Watu hatuishabikii Morroco sio kwasababu ya yule kibopa liyezingua (actually inaweza kuwa sababu sometimes)
Morrocco amekutana na timu nayoikubali ambapo hata katika hiyo nafasi ya Morrocco angekuwa Taifa Stars bado nisingeshabikia Timu ya taifa langu
England ndio timu yenye mpira mzuri hakika world cup hiiWaingereza washaanza majungu eti wanalaumu refa mechi yao dhidi ya France. View attachment 2444101
Shusha presha Mkuu, usiwaze nani atashinda.... muda ukifika tucheki ball likitembea tu, mshindi ni baada ya dk 90 au 120...Mm presha iko juu utafkr mm ndo nachezA
Mwenzako akinyolewa, wewe tia maji tuBila kusahau haters wa Messi wamekimbilia France[emoji23][emoji23]
Na mimi narudia Argentina wasipobeba ila kombe basi mnirarue vipande vipandeNarudia kwa mara ya mwisho.
Argentina wasipobeba🏆, mniite mbwa niko nimekaa pale 👉
Sawasawa MkuuNarudia kwa mara ya mwisho.
Argentina wasipobeba[emoji471], mniite mbwa niko nimekaa pale [emoji117]
Ondoa hiyo timu inayokaa golini kwake muda wote.Ina maana kwa sasa hizi hapa ndizo timu nne bora Duniani kwenye mpira wa miguu?
- France
- Morocco
- Argentina
- Croatia
Wala hakutakuwa na haja ya kukumbusha maana bingwa wa WC ni Ufaransa.Tutakumbushana inshaallah...