U r a good fighter who is not giving up easly ...Now it's time for the GOAT to go home, hope you got it
He's finally look would be likeU r a good fighter who is not giving up easly ...
That's good spirit ....I admire it.
Aside praising u...Messi is here till the end
Take it or leave it
Litakuwa jambo zuri kuficha sura kivipi tenaHivi Morocco akiingia fainali tutaficha wapi nyuso zetu.au tutawaambia Nini watu
Huu mjadala haupo sababu mwenyewe kashatoka anainspire nini sasa?
❤❤❤❤❤❤We love you too, la seńora🤍[emoji171]
Kutoka sio ishu hata huyo Messi leo atatoka, utofauti ni kutangulia tuHuu mjadala haupo sababu mwenyewe kashatoka anainspire nini sasa?
Mashabiki wa huyo jamaa mna tabu sana
Huyo mwingine alikuwa na possession sawa na Brazil kwenye mechi yao. Yeye huwa anacheza katikati ya uwanja.Hapo.zipo.mbili zinazo weka makomtena golini
Weka ya mr benchi akilia juzi hapa kwanza aliyefika final na aliyetoka nusu hawafanani messi atabeba ndoo hii hats Morocco pia anaweza kila kitu kipo waziHe's finally look would be like
Kutoka sio shida shida wametoka lini au watatoka liniiiKutoka sio ishu hata huyo Messi leo atatoka, utofauti ni kutangulia tu
Fainali ya wapi?Kutoka sio shida shida wametoka lini au watatoka liniii
Mesi atacheza fainalii ndo atoke
Huchokiii tuuFainali ya wapi?
Labda playoff
Shida umetolewa na nani na kivipiKutoka sio ishu hata huyo Messi leo atatoka, utofauti ni kutangulia tu
Tatizo mashabiki wa Messi mna kelele sanaHuchokiii tuu
Shida ni kufungwa na timu ndogo?Shida umetolewa na nani na kivipi
Inabidi mkubali jamaa yenu kaisha ndio maana anapigwa benchi mpka huko ureno ujue ni uwezo..!
Inakuwaje mchezaji mkubwa hana team? Nyiee kweli mmekunywa maji ya bendera
Hivi nyie mashabiki wa Messi kombe mnalichukuliaje?Weka ya mr benchi akilia juzi hapa kwanza aliyefika final na aliyetoka nusu hawafanani messi atabeba ndoo hii hats Morocco pia anaweza kila kitu kipo wazi
Vini's idol is neymar
Haya Argentina alipigwa na Saudi wako wapi hao Saudi?Shida ni kufungwa na timu ndogo?
Kumbuka ulipigwa na Saud ambayo ni kubwa kwa Morroco
Swala la yeye kutokuwa na timu ni maamuzi yake binafsi that's why kuna Club zimemtaka na akazitolea nje
Namna alivyofika Morrocco nusu pamoja na Argentina kila mtu haelewi wamefikaje fikajeHaya Argentina alipigwa na Saudi wako wapi hao Saudi?
Morocco kawapiga yupo nusu.
Kila club imempiga spana labda akacheze Burundi huko tena anaanzia benchi.
Chelsea, Madrid, Dortmund, arsenal, city,inter, Napoli mpaka ac Milan
Jamaa mnapitia mateso makali
Huku simba mnadandia Costa huku mr penalty anakula msoto daah