Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

U r a good fighter who is not giving up easly ...
That's good spirit ....I admire it.

Aside praising u...Messi is here till the end
Take it or leave it
He's finally look would be like

319076699_549186153393074_6214554170002078192_n.jpg
 
Shida umetolewa na nani na kivipi
Inabidi mkubali jamaa yenu kaisha ndio maana anapigwa benchi mpka huko ureno ujue ni uwezo..!

Inakuwaje mchezaji mkubwa hana team? Nyiee kweli mmekunywa maji ya bendera
Shida ni kufungwa na timu ndogo?

Kumbuka ulipigwa na Saud ambayo ni kubwa kwa Morroco

Swala la yeye kutokuwa na timu ni maamuzi yake binafsi that's why kuna Club zimemtaka na akazitolea nje
 
Shida ni kufungwa na timu ndogo?

Kumbuka ulipigwa na Saud ambayo ni kubwa kwa Morroco

Swala la yeye kutokuwa na timu ni maamuzi yake binafsi that's why kuna Club zimemtaka na akazitolea nje
Haya Argentina alipigwa na Saudi wako wapi hao Saudi?

Morocco kawapiga yupo nusu.

Kila club imempiga spana labda akacheze Burundi huko tena anaanzia benchi.
Chelsea, Madrid, Dortmund, arsenal, city,inter, Napoli mpaka ac Milan

Jamaa mnapitia mateso makali
Huku simba mnadandia Costa huku mr penalty anakula msoto daah
 
Haya Argentina alipigwa na Saudi wako wapi hao Saudi?

Morocco kawapiga yupo nusu.

Kila club imempiga spana labda akacheze Burundi huko tena anaanzia benchi.
Chelsea, Madrid, Dortmund, arsenal, city,inter, Napoli mpaka ac Milan

Jamaa mnapitia mateso makali
Huku simba mnadandia Costa huku mr penalty anakula msoto daah
Namna alivyofika Morrocco nusu pamoja na Argentina kila mtu haelewi wamefikaje fikaje

Ni timu ambazo kila mtu anajiuliza imekuwaje zikawa hapa zilipo

Ronaldo kukataliwa na timu zingine sio kwasababu ya kiwango ni kwasababu ya tabia

Juzi baada ya Portugal kufungwa viongozi wengi walilaumu kuwa matokeo yale yalichangiwa na swala la Ronaldo kuanzia benchi

1670922177931.png
 
Back
Top Bottom