Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Rated na underrated vyote hivi hutegemea na jinsi una mashabiki wangapi wanao kusapoti

Messi kwenye michuano hii anaruka ruka tu sijaona chochote alichokifanya kuonesha uhodari wake.

Croatia sio timu iliyofika nusu kwa bahati, Argentina na Morrocco ndio sielewi elewi zimefikaje hapa

Ngoja tuone muda uamue
 
Lionel Messi hattrick


Unaambiwa mashabiki wa Croatia Leo wanaenda kwa lengo LA kumshuhudia messi tu akitoa burudani wala hawana muda na taifa lao hehehehe.....wanakwambia burudani kwanza uzalendo baadae

TBC wana ubavu wa kuacha kuonyesha burudani kutoka kwa GOAT? Wataonyesha usihofu
Baada ya game ukiambiwa hawa watu waliwahi kuandika hivi unaweza ukabisha
 
Mashabiki wa CR7 kazi yenu iliisha,

Siku ya leo,Lionel MESSI atakua uwanjani kuongeza machungu yenu na kupeleka furaha Buenos Aires na Dunia nzima kwa ujumla,

Enjoy the game.
 

Attachments

  • Screenshot_20221211-213808_Instagram.jpg
    117 KB · Views: 5
Baada ya game ukiambiwa hawa watu waliwahi kuandika hivi unaweza ukabisha
Wewe ndio una tabia ya kugeukageuka. Ulikuwa Brazil, Portugal na sasa umeenda Ufaransa yote kwasababu ya chuki kwa Messi unajitahidi upate timu itakayomfanya asibebe world cup lakini ulishindwa na utaendelea kushindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…