Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mpaka sasa Messi ni top rated player anaongoza akifatiwa na mbappe mwenzetu statistics zako unatolea wapi??. Kama kufunga penalty ni kazi rahis muulize kane.

Croatia ni timu mpaka sasa imefika semis kibahati leo wanakutana na kichapo. Tusubiri muda ufike
Rated na underrated vyote hivi hutegemea na jinsi una mashabiki wangapi wanao kusapoti

Messi kwenye michuano hii anaruka ruka tu sijaona chochote alichokifanya kuonesha uhodari wake.

Croatia sio timu iliyofika nusu kwa bahati, Argentina na Morrocco ndio sielewi elewi zimefikaje hapa

Ngoja tuone muda uamue
 
Lionel Messi hattrick

Leo majitu kazi tupo dimbani kuwapa furaha wadau wote wa soka kuanzia Buenos Aires mpaka Lisbon ,tandahimba mpaka London hehehehe

Dunia nzima itasimama kumshuhudia the football magician, the undisputed world's best footballer ever......LIONEEEEL MESSIIIII......

Prediction Croatia 1:2 Argentina

Tukutane fainali

Unaambiwa mashabiki wa Croatia Leo wanaenda kwa lengo LA kumshuhudia messi tu akitoa burudani wala hawana muda na taifa lao hehehehe.....wanakwambia burudani kwanza uzalendo baadae

TBC wana ubavu wa kuacha kuonyesha burudani kutoka kwa GOAT? Wataonyesha usihofu
Baada ya game ukiambiwa hawa watu waliwahi kuandika hivi unaweza ukabisha
 
Messi anacheza leo na dunia nzima inayo furaha
90F6C18C-2B1E-4986-AA7F-AC0926B38137.jpeg
 
Baada ya game ukiambiwa hawa watu waliwahi kuandika hivi unaweza ukabisha
Wewe ndio una tabia ya kugeukageuka. Ulikuwa Brazil, Portugal na sasa umeenda Ufaransa yote kwasababu ya chuki kwa Messi unajitahidi upate timu itakayomfanya asibebe world cup lakini ulishindwa na utaendelea kushindwa.
 
Back
Top Bottom