Lile ambalo walimlenga nilitegemea iingie, ila akaitoa.Afu ni mrefuuuu ka ngongoti
Kuna goal la upande upande alilichomoa
Khaaa
Mkuu nazungumzia kund A senegal anacheza na nan na nan mach zijazo za kund aLeo saa 4 ni USA na Wales
Mtu anaitwa Kodi [emoji1787]
Ukweli ndio huo....ata ukiangalia katika afcon group stage walifunga goli moja tuu tena la penalty.Senegal kilichowauwa mentality ya kwenda kutafuta sare wangeamua kwenda kutafuta matokeo tungekuwa tumeshapata ushindi all in all striker hatuna
Huyu ana damu ya africa. Si mghana kweli huyu ?
Kujitahidi bila magoli ni kazi bureHabari za kujitahid zishapitwa na wakati SEGE-GIRL wamecheza hovyo mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Senegal has a very poor striking indeed.Ukweli ndio huo....ata ukiangalia katika afcon group stage walifunga goli moja tuu tena la penalty.
Ili uwe na mafanikio lazima uweze kufunga na pia uweze kuzuia magoli
Nilichobaini nimegundua kiwango cha mpira kwa muafrika aliyezaliwa Afrika ni cha mashaka sanaYaani nilipitia makundi hili ndio jepesi jililiona hatutoboi tena msimu huu.
ila kiuhalisia team zetu hata wachezaji wa kiwango cha juu ni wa kutafuta sana. wengi ni wale wanatoka team za kawaida sana ulaya.
Hao weusi wote wanatoka visiwa vya America ya kusini ambavyo viko chini ya uholanzi Kama Suriname
Na hizi ndio mechi za Kibu
Mwamuzi wa Leo poa sana. Hamna card hadi sasa
Hapa hasira zote zitaishia kwa Qatar tukimshika tutampiga kama ngoma
Sawa mkuu sio mbaya tunakutana kwa BrasilSoon tutajumuika wote
Nimewapa nafasi ya mwisho kwa hawa waliobaki nicheki upepo wao
Wakifakisha nakuja na formation yako japo penye Argentina hapo atakaa Portugal na Netherland atapungua kupisha nafasi ya France
Huyu Qatar si wa kumfunga Senegal mkuuKatar hawezi kufungwa kizembe
25Nov ni Qatar na SenegalMkuu nazungumzia kund A senegal anacheza na nan na nan mach zijazo za kund a