Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Croatia leo walikuwa vizuri eneo la kati mbona mmeshinda??

Tutashinda bila hao kwasababu uwezo upo, timu mpaka inapata matokeo unaona inapambana na sio kutegemea penati
Hivi kumbe upo kaka mkubwa?

Haya tuambie, hizo penati sio sehemu ya mchezo? Vipi, watu wakicheza rafu refa asitoe penati kwakua wewe haupendi?
 
Fj4zQUCXwAEjhiR
 
Ulipoteaaa uliogopa maneno ya mavuvuzelaaa??
Tembea kifua mbele leo tumetawala huu uzii
Tunapita kordoni, tunapita seblen, tunapita jikoni vyooonii yani ni sisi tu team [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]

Nipo mda sana nilishindwa kushika simu lile goal la tatu, vile Leo amefanya aseee nilikuwa na furaha ya ajabu yani machozi yalitoka kwa furaha🥹 nilipiga shangwe zito sana hapa nilipokuwa watu wa hapa wataenda kusimulia huko makwao.

VAMOOOSSS ARGENTINA!![emoji1033][emoji1033][emoji1033]

Leo is my Goat🤍[emoji171]

[emoji238]….
 
Timu Morocco tujuane kabisaa kabla hapaja pambazuka.
Mamluki hatuwataki.
Kama ulisha shabikia Brazil sijui England, samahani tusameh, hatuhitaji msaada wako.

MOROCCO NDIO BINGWA
Hatoboi kesho wataonewa saana
 
Kwani mi sababu ya kusema kipindi cha pili nakikaushia unafikiri ilikuwa ni nini?

Nilikuwa nairudia kuiangalia ile penati jinsi ilivyopatikana na hapo ndio nikaona kivyovyote hapa Argentina anaandaliwa ashinde

Tangu wafungwe bao la penati unaona kabisa team ilipata mvurugiko ikawa haichezi katika form ya kueleweka na hapo ndio wakafanikiwa kupata bao la pili
Kuna msemo kwenye football.
"The winner celebrates, the loser explains"
 
Kwani mi sababu ya kusema kipindi cha pili nakikaushia unafikiri ilikuwa ni nini?

Nilikuwa nairudia kuiangalia ile penati jinsi ilivyopatikana na hapo ndio nikaona kivyovyote hapa Argentina anaandaliwa ashinde

Tangu wafungwe bao la penati unaona kabisa team ilipata mvurugiko ikawa haichezi katika form ya kueleweka na hapo ndio wakafanikiwa kupata bao la pili
Basi tufanye imeisha bila bila ofsa mbona unalia?
 
Huyo mbuzi wao anaimbwa imbwa kwa magoli ya penalty tena za mchongo. Ngoja akutane na kijana Mbappe atamuonesha shughuli kama ile ya mwaka 2018

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumechoka!

Mara ngoja wakutane na uholanzi, mara ngoja wakutane na croatia, mara ngoja wakutane na Mbappe!

Tumechoka, kusanyeni wote waliobaki waunde team moja alafu muwalete tumalizane nao. Maana inakoelekea, hata Ufaransa tutampapasa alafu mseme na yeye ni kibonde!
 
Back
Top Bottom