Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Mwarabu koko upo?Mambo yalivyo huko Argentina kwa sasa baada ya kutinga Fainali Kibabe.View attachment 2445944
Wamemtendea haki mess๐๐๐๐Mambo yalivyo huko Argentina kwa sasa baada ya kutinga Fainali Kibabe.View attachment 2445944
Washamba walianzia kwa MexicoTumechoka!
Mara ngoja wakutane na uholanzi, mara ngoja wakutane na croatia, mara ngoja wakutane na Mbappe!
Tumechoka, kusanyeni wote waliobaki waunde team moja alafu muwalete tumalizane nao. Maana inakoelekea, hata Ufaransa tutampapasa alafu mseme na yeye ni kibonde!
Ooooh shit what a missWe will never forgive you Messi, never. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
The same question where is ronaldo?Where is Messi ????Wasaudi bwana. Wao wanakula tende Messi huyo kwenye fainali.
Achana nao wafamaji hao. Baada ya ufaransa utawasikia wakisema ngoja wakutane na taifa stars ya kibu denis, wabongo hawaishiwagwi nongwaTumechoka!
Mara ngoja wakutane na uholanzi, mara ngoja wakutane na croatia, mara ngoja wakutane na Mbappe!
Tumechoka, kusanyeni wote waliobaki waunde team moja alafu muwalete tumalizane nao. Maana inakoelekea, hata Ufaransa tutampapasa alafu mseme na yeye ni kibonde!
Team Messi huwa mnanichosha hapo tu, hamuwezi sheherekea vitu vyenu kimya kimya mpaka msumbue watu waliolala zao..!!๐๐๐Teh teh teh ๐๐๐ wale wengine wameshalala....
Saint Anne Numbisa Carleen...Messi kawaharibia Usiku..๐๐๐..
Na medali ya ubingwa atavaa...na tuzo ya mchezaji bora wa mashindano inamsubiri..
Mpira hauchezwi mafichoni, ni mchezo wa hadharani kabisa.Kwani mi sababu ya kusema kipindi cha pili nakikaushia unafikiri ilikuwa ni nini?
Nilikuwa nairudia kuiangalia ile penati jinsi ilivyopatikana na hapo ndio nikaona kivyovyote hapa Argentina anaandaliwa ashinde
Tangu wafungwe bao la penati unaona kabisa team ilipata mvurugiko ikawa haichezi katika form ya kueleweka na hapo ndio wakafanikiwa kupata bao la pili
Hahaha yani brazil mlikaza matako kwa mume wenu Crooatia mkatoka 1:1 tena hilo moja mlifunga kwa mbiiiiiinde yani dakika za 110+ huko na mkasawazishiwa.Mabeko wa Croatia wazembe pale hata Mwamunyeto asinge zungushwa na chenga za Messi kiboya kama vile .Hii mechi Croatia wngetuachia Brazil Argentina tungemdhalilsha vibaya mno..
VamossssssNipo mda sana nilishindwa kushika simu lile goal la tatu, vile Leo amefanya aseee nilikuwa na furaha ya ajabu yani machozi yalitoka kwa furaha๐ฅน nilipiga shangwe zito sana hapa nilipokuwa watu wa hapa wataenda kusimulia huko makwao.
VAMOOOSSS ARGENTINA!![emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Leo is my Goat๐ค[emoji171]
[emoji238]โฆ.
Mwaka 2018 Mbappe ndio aliimaliza ndoto ya Messi kubeba ubingwa mwaka ule na ninaliona hilo siku ya J2 likitokea.Mbape mwisho wake kesho.
Karuka ruka kakutana na wauni.
MOROCCO NDIO BINGWA
Kwani we huamini kwamba Morocco ndio bingwa michuano hii???Mwaka 2018 Mbappe ndio aliimaliza ndoto ya Messi kubeba ubingwa mwaka ule na ninaliona hilo siku ya J2 likitokea.
Kama unabisha leta mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta mkono tushindaneTumechoka!
Mara ngoja wakutane na uholanzi, mara ngoja wakutane na croatia, mara ngoja wakutane na Mbappe!
Tumechoka, kusanyeni wote waliobaki waunde team moja alafu muwalete tumalizane nao. Maana inakoelekea, hata Ufaransa tutampapasa alafu mseme na yeye ni kibonde!
Hahaha nmecheka knoma...kwamba walimcheka saivi anaingia fainali wao wanakula tende๐๐๐Where is Messi ????Wasaudi bwana. Wao wanakula tende Messi huyo kwenye fainali.
Nakusalimia bibie!Croatia msijali
Ufaransa tupo na tutawalipia mabao yoote
Na mengine juu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app