United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Wanajipendekeza kweli Morroco walishawakata wao wanapigana Kwa ajili ya warabu na wamorroco Leo France tunapiga Morroco jumapili tunapiga huyu tumbuli Messi ili kelele zipungueUshindi ni wa Morocco na Waarabu tu
Nyie wengine mbona mnaitaja taja nchi yetu ya Morocco na sisi waarabu
Tulia leo tunavyomnyeshea ufaransa mvua ya magholi sisi waarabu
Usiwapeleke huko utaazisha ugovi na watuUnajua wakiona unaandika hivi wanajua wewe una chuki na Messi lakini kumbe wala. Mimi binafsi namkubali Messi ila ambacho nashindwa kukubaliana na wengi anapewa sifa kupitiliza na kuwekwa kwenye dunia tofauti na wachezaji wengine bora.
Yan media zinamhype kupitiliza. Tunaweza kumsifia lakini yeye sio Mungu wa mpira ni bora kati ya wengine bora katika soka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio hufuatili mpira kabisa, Benzema kwenye michuanohii hushamwona hata benchi?Huku mbappe huku benzema sijui andunje atachomoka vipi
the ball hits the bar 🙆♂️
Au siyo mkuu!!!Kuna waliofika kwa uwezo wa pernaties kutoka kwa VAR
acha kuota kumekuchaHaya kazi kwenu kung'amua maana ya picha..
Haya matakwimu kama yale ya copa america tuMost goals:
◉ 5 - Messi
◎ 5 - Mbappé
Most assists:
◉ 3 - Messi
◎ 3 - Kane
◎ 3 - Fernandes
◎ 3 - Griezmann
Most shots:
◉ 27 - Messi
◎ 22 - Mbappé
Most chances created:
◉ 18 - Messi
◎ 17 - Griezmann
Mess bila penati si mwepesi tuUkiacha kufunga alvarez kafanya nini? MOTM wanangalia statistics zote sio kufunga tu.
Big Clubs haziwezi zikakubaliana na hili jambo; Mchezaji kutoka kwenda kwenye international duties alafu wakati mwingine unarudi umeumia wakati watu wanakulipa mamilioni ya Pesa ni risky...
Ndio maana hata confederation cup haikufanikiwa sana (haikuwa na big clubs support)
Bingwa wa mwaka huu ni team ambayo haijawahi kutwaa hilo kombe.This time for Africa leo ndo leo Africa inawaka waka tena. Kati ya waafrica wa Morocco na waafrica wa France.