Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Kwenye faida sidhani , Uwekezaji zaidi ya dola bilioni miatatu ...Sema faida wamepata sana kifedha na connection zaidi
Labda kwenye siasa za kijiopolitiki .. nako ni labda , ngoja tutaipima after world cup kuishà..
The world is a canvas, nations are artists .. Qatar kashachora mchoro wake na Ni mchoro bora zaidi .
Ameshaandika historia ..