computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
Argentina [emoji1033] atabeba kombe mbele ya France [emoji632] na Morocco [emoji1173]Kalale wewe, sisi bado tunaimani na Morocco. Ili game ya fainali iwe rahisi kwa king Messiah.
Mambo vipi mkuu?Mechi imeisha hii....
Tungoje kesho Morocco atakapoweka historia nyingine ya kutinga fainali...
Saint Anne Scars
We team gani?tuanzie hapa kwanzaWew timu lenyewe had mpewe penati
Tumekosa?Oooh tumekosa hapo Mbape
AmiiinEeeh Allah tunaomba uwasaidie watu wako Bora uliowaumba (Waarabu) wapite hii Hatua Aamin.
No waySipo upande wa Morocco lakini bado wapo imara kwa kweli, sio ajabu wakarudisha
Kama mim nasema uongo watu watasema juz apa kiungo wenu kweny mechi na Holland alipiga mpira kweny bechi la dutch maksudi kabisa kama sio Bangi ni nin kileWe unachuki binafsi na Messi kwa alivomtetemesha vidole babu Ferguson fainali fulani ya UEFA
France akishinda leo mniiite khadija maunk
Hahahahaha. Acha roho mbaya. Hili kombe limeandaliwa mahususi kwa ajili ya king Messiah. Hata fifa wanalijua hili.Pro Ronaldo tunashabikia Ufaransa. Maana Maroc asingekuwa na uwezo wa kumfunga Argentina..
Ronaldo alilia, Messi naye atokwe kamasi.
Lazima ataweka leo.Mbape ni kifaru aisee. Anafungu cylinder zote na turbo kabisa. Speed ya hatari.