Jana penalt imewaua, japo Uingeleza anaweza asimfunge USAUsa bado, assume Uingereza anamfunga Usa mechi ijayo, wales anamfunga iran ama Iran anamfunga Wales hapo Uingereza anakuwa amefuzu, ina maana mechi ya Mwisho Uingereza na wales hawapangi full mziki watapumzisha watu kwa ajili ya Round 16 hivyo inakuwa mechi nyepesi kwa Wales.
Ili Usa awe na uhakika 100% kufuzu inabidi amfunge uingereza, otherwise imabidi aombee mabaya wengine ili yeye afuzu. Kundi gumu.
Asantte sana nimefanikiwa naangalia vizur tu Mungu akubariki.Yaccine app
Amen[emoji120]Asantte sana nimefanikiwa naangalia vizur tu Mungu akubariki.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Yan usijarb kbs kukosa fanya juu chini uione.. Mpr unaenda kupigwq mwng sana asee[emoji41][emoji1033]Umeme wamekata ila natafuta mahali wanaonesha hii mechi si ya kukosa
Lá kin na USA ni wazembe walijisahau sana kabisa kipindi chá pili.Jana penalt imewaua, japo Uingeleza anaweza asimfunge USA
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
England na US ndo nchi ambazo zikiendelea sogea mashabiki wanaendelea tazama. Maana ndo wemye mashabiki wengiLá kin na USA ni wazembe walijisahau sana kabisa kipindi chá pili.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Saudi Arabia [emoji1210] anaenda kulambwa goli 7.Official Starting Lineup [emoji1033]View attachment 2423917
[emoji1787]Saudi kajichanganya leoSaudi Arabia [emoji1210] anaenda kulambwa goli 7.
Ngoja uone Brazil ama Argentina, hizi ndo Nchi pekee zenye mashabiki wengi duniani na wakicheza hadi watu wanakufa kwa ushabiki ama kujiua.England na US ndo nchi ambazo zikiendelea sogea mashabiki wanaendelea tazama. Maana ndo wemye mashabiki wengi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Leo watu wanataka wamshuhudie MessiNgoja uone Brazil ama Argentina, hizi ndo Nchi pekee zenye mashabiki wengi duniani na wakicheza hadi watu wanakufa kwa ushabiki ama kujiua.
Jana Usa kawaida tu uwanja ulijaaa ila mapengo yalikuwepo, ila Ticket za Argentina ziliisha papo hapo zilivyotangazwa tu zikaisha.
Wana Herve Renanrd haoSaudi kajichanganya le
Kanno kazingua, alitakiwa awe AlkannoSaudi Arabia XI:
Alowais;
Abdulhamid,
Altambakti,
Albulayhi,
Alshahrani;
Alfaraj,
Kanno,
Almalki;
Albrikan,
Alshehri,
Aldawsari.