Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Nilichogungua watu wengi wanaomchukia sana Messi ni mashabiki wa Man United maana kila walipokuwa wanakutana kwenye champion league na Barcelona, Messi alikuwa anawakata stimu vibaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ni mwendelezo kuanzia baselona walipomuondoa gaucho ili mesi aonekane ?!Hilo hata mimi nimelieleza sehemu na hii ilishaonekana kuwa anaandaliwa kwa ajili ya kuja kufuta ufalme wa Pele maana hakuna mfalme wa Soka bila kushinda World Cup vijamaa vikaanza niita timu CR7.
Mess anawafanya mnaweweseka kma MISUKULEKwa hiyo ni mwendelezo kuanzia baselona walipomuondoa gaucho ili mesi aonekane ?!
Kama ni hivyo basi program imefanikiwa kwa asilimia kubwa ila Mwenyezi Mungu naye ni fundi!!
Ngoja tuone hitimisho!!!
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Jana walikuwa wafaransa kisa weusi ila yote hayo kayalet MESSIMessi anawahehuasha watu,,,,
Sasa wanajiita wafaransa weusi [emoji1787][emoji1787] ,,,, et wale ni waafrica wenzetu!!!
Mi naisubiri Tanzania WC ,,,,, ngoja nishuhudie minyukano; maana ni mara moja kwa miaka 4
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wapuuzi tu hao......mi tegemeo langu ilikuwa Lipuli fcNyie matumaini yenu yalikuwa kwa Senegal na Ghana, sasa mbona mnatulaumu Sisi Waarabu wa Morocco bila sababu? Au mmetumwa?
Hahhaaa! Hii iko wazi mkuu....sema fainali moto utawaka yule mzee fundi atabeba jagi.Taratibu wasisikie
Nataman watusurprise final KB9 awepoUfaransa siyo mchezo... fainali bila Benzema, Pogba, Kante, Kimpembe, Martinez mkubwa, Nkunku,
Kama ulibetiii mzee mwaka wakoMimi nawapa nafasi Argentina ya Lionel Messi kutwaa ubingwa
Mambo vipi dadaa Khadijah Maunk[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji174]France akishinda leo mniiite khadija maunk
Kwahyo kisa lewandowsk hakupata bas na yy sio bora etKumzidi kivipi mkuu
Hawa watoto kina Mbape Haaland na wengineo mpaka aashinde balon d or kadhaa ndo inabidi walinganishwe na hao magwiji wengine
Sasa hivi waachwe walisakate kabumbu
Kama uliona tobo alilopigwa[emoji1541][emoji1541][emoji1541] huyu jamaa gonga like
View attachment 2447107
Jamaa adi anamfata dogo anamuambia "umeshindwa hata kunivungia mkuu na upaa wote huu!"
Dogo anasema " aaaa hamna wembe ni ule ule...mwendo wa kiberenge tu"
Usiku mwema
Kuna comments nyingine unaweza soma unabaki kujiuliza huyu mtu anaandika kwa sababu tu ana smartphone au itakua channel hazishiki.Ni ngumu sana, nahisi mpaka mwaka 5700 hakuna mchezaji atakayemfikia Christina Penaldo kwa Penalty.
Wakisema leo tufute magoli ya penalty Messi anamzidi Benchaldo magoli. Pamoja na kuwa Penaldo amecheza mechi 300 kumzidi messi
Halafu eti bado mnamuita goal machine
Aseee mbappe kajaaliwa bana[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Ondoa maneno Yako kwenye Hansard hatuna nchi Africa inayoitwa MoroccoNi waafrica kwa sababu nchi yao iko bara la Africa. Ni Waarabu kwa sababu ni wanachama wa nchi za kiarabu, ni wazungu kwa sababu wanatumia baadhi ya tamaduni za kizungu kama kuongea kifaransa na kumiliki visiwa kwa ubia na Hispania. Mambo ni mengi
England kwa ujumla hawamtaki Messi,ukiacha kufunga timu zote kubwa za huko pia hajacheza kwenye ligi yaoNilichogungua watu wengi wanaomchukia sana Messi ni mashabiki wa Man United maana kila walipokuwa wanakutana kwenye champion league na Barcelona, Messi alikuwa anawakata stimu vibaya sana