Huyu jamaa hana nafasi kwa Deschamps.Mimi sina maneno mengi
Kwa uchache tu ,huyu ni Muft Ustadh Benzema.
Ni hayo tu.
Wale viberenge tuangalie tu wasije leta mafuriko ya machozi kwenye ardhi ya Mola.
J2 ,na vile watu wafupi walianza kulia huwa hawanyamazi haraka.
View attachment 2447375
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nakusalimu mamaa Khadijah ,mama ya Zuchu akeeee🤣🤣🤣🤣Shauri yako upo size kabisa ohooo[emoji16]
Nani kakuambia nimekuja kuchambua mpira jf, hukuona neno NADHANI hapo? Basi chambua wewe mchambuzi...Taadifa tu rahisi kama hii hauna halafu unakuja kuchambua mpira jf
Kunuweka benz kwa finals na ajacheza mechi zingine na alikuwa anakula bata mh msitake watu walalamike akiwa under performanceMimi sina maneno mengi
Kwa uchache tu ,huyu ni Muft Ustadh Benzema.
Ni hayo tu.
Wale viberenge tuangalie tu wasije leta mafuriko ya machozi kwenye ardhi ya Mola.
J2 ,na vile watu wafupi walianza kulia huwa hawanyamazi haraka.
View attachment 2447375
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Cameroon mpaka leo watakuwa wanajuta kumkatalia Mbappe kucheza kwenye Timu ya taifa lake
Hee!Cameroon mpaka leo watakuwa wanajuta kumkatalia Mbappe kucheza kwenye Timu ya taifa lake
Weweee hapo tu ndio nakupendeaga dada anguHe he he.....
"You either win with US or you watch US win....
[emoji1033] for life Brw!!!!
Halafu usipende kubadili nguo kila mara binti, hadi nakupoteza! Sikuwa najua kumbe hawa samba boys walishafanya yao zamani!Brazil tayari alishachukua back to back wakiwa na Pele labda kwa karne hii France watakuwa wa kwanza
Uzuri team haimtegemei mtu mmoja kama ile nyingine.Kunuweka benz kwa finals na ajacheza mechi zingine na alikuwa anakula bata mh msitake watu walalamike akiwa under performance
[emoji7][emoji7][emoji7]Weweee hapo tu ndio nakupendeaga dada angu
Yeah back in 2018 ndio France wakamkubaliagaHee!
Alitaka acheze Cameroon wakakataaa??
Poor them,
Safi sana.
Mwafrika anae cheza ulaya ni tofauti na anae cheza Afrika so bado hata huku kwa national team angeflopCameroon mpaka leo watakuwa wanajuta kumkatalia Mbappe kucheza kwenye Timu ya taifa lake
Kanuni yetu ni moja.Full time France 0 - 0 Ajentina
Extra time France 2 - 0 Ajentina
Anduje atajua hajui
Kuna sehemu angeifikisha timuMwafrika anae cheza ulaya ni tofauti na anae cheza Afrika so bado hata huku kwa national team angeflop
Hv umejiaminisha kabisa Argentina ni bingwa!!??Dj walete team Argentina wakapokee kombe lao
Haha mbona nimebadili muda mrefu tu nikahisi labda tulishakutana mahali ukanijuaHalafu usipende kubadili nguo kila mara binti, hadi nakupoteza! Sikuwa najua kumbe hawa samba boys walishafanya yao zamani!
Mbappe hajafikia uwezo wa Etoo kwenye club football ila Etoo alikuwa akifika national team anazidiwa na kina Aboutrika. Afrika kusini mwa jangwa la sahara tuna shida tukishakusanyika kutengeneza timuHee!
Alitaka acheze Cameroon wakakataaa??
Poor them,
Safi sana.