Hao wamenaswa kwa totoz za kirabu wenye kufanana na wale wahudumu wa Qatar airways 😜😜😜😜[emoji871] Kingsley Coman (mafua), Raphael Varane (homa), Ibrahima Konate (homa), Aurelien Tchouameni (nyonga) na Theo Hernandez (goti) wote hawakuwepo kwenye mazoezi ya Ufaransa jioni ya leo kuelekea fainali ya Kombe la Dunia la dhidi ya Argentina Jumapili.[emoji599]
DahhhhhhhView attachment 2449799
Balili rock?Mzee Mkangala wa Bunda amefunga sinema mlimani anaonyesha wc na taarifa ya habari ya Tbc. Anasema unaweza kuona hii tv hata ukiwa umbali wa 2 km away. Anaonyesha mechi bure
Basi ni ngumu kusema,,,, ngoja tuone dk 90+,,,,, labda tunaweza vunja hiyo mikosiHamna nyingi zimeishia robo
Kujidanganya kunaruhusiwa bila wasiwasiKesho si ndiyo Jumapili?
Team Messi...
Team Argentina tuombe sana Mungu, Messi astaafu WC na kombe.
Argentina babies [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
AiseeMaandalizi ya kupokea kombeeeView attachment 2449971