Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

[emoji871] Kingsley Coman (mafua), Raphael Varane (homa), Ibrahima Konate (homa), Aurelien Tchouameni (nyonga) na Theo Hernandez (goti) wote hawakuwepo kwenye mazoezi ya Ufaransa jioni ya leo kuelekea fainali ya Kombe la Dunia la dhidi ya Argentina Jumapili.[emoji599]


DahhhhhhhView attachment 2449799
Hao wamenaswa kwa totoz za kirabu wenye kufanana na wale wahudumu wa Qatar airways 😜😜😜😜
 
Maandalizi ya kupokea kombeee
 
argentinafootballfans~p~CmJNRhyjccu~2.jpg
 
Di Maria is the player who can insult you on the pitch in the language of football. That's how much excessively skilled player he is.

86082f89e37798912b9555801337d6bb.png
 
Huyu drogba sjui anajikuta nani,kwahyo kisa KB9 hakumu acknowledge usiku wa ballon dior ndo kumtoa mwenzie asicheze mxiew
 
Croatia na Morocco wanajivunia safu kali za viungo kwenye michuano hii na ni vigumu kuhukumu ni nani atatumia ubabe wao wakati huu.
Kwa kawaida pande zote mbili huweka watu watatu - Marcelo Brozovic, Luka Modric na Mateo Kovacic watapambana dhidi ya Sofyan Amrabat, Azzedine Ounahi na Selim Amallah.
 
Croatia wanathibitisha kivipi Argentina alibahatika
 
Back
Top Bottom