BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hivi hili bifu letu na Morocco lilikuwa pia kwa madem zao? Wana pisi kali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Risiti ni muhimu👆🏼👆🏼👆🏼Mimi nawapa nafasi Argentina ya Lionel Messi kutwaa ubingwa
NdioHivi hili bifu letu na Morocco lilikuwa pia kwa madem zao? Wana pisi kali sana
Huna akiliMchezaji bora wa mashindano kwa upande wanguView attachment 2450134
Ameeen[emoji120][emoji120][emoji120][emoji1073][emoji1073][emoji1073]Kesho mapema tu Ufaransa anabeba kombe kwa mara ya pili mfululizo! Huyo Messi atawekwa mtu kati, kiasi cha kuishia tu kuruka ruka kwa dakika zote 90!
maarabu yaliona yamepata kila kitu hadi kuanza kuonesha ubaguzi wao adharani sasa yamengukia puwa.Vipi maafrika yenyewe yaliangukia pua stage gani?
😀😀😀😀
Akiwa nazo mumeo zinatoshaHuna akili
Dear lukamo you are the GOAT,we love u[emoji307]
Tunaomba pichamizimu ya kiafrika
Japo ni team france bt angechukua luca ningefrahi pia,2018 he was so close. He may not show it bt nahis anaumia bas tu,kila akikarbia kuligusa linachukuliwa na mwngne.
Wamelipa heshima kubwa sana hili bara kwa hatua waliofika.Tukubaliane hakuna forth part. Yaani ni First , Second, Third na washiriki wengine tu. So hapa muarabu ni sawa na muarabu mwenzake wa qatar nothing special.
Bono hana poz yuko tu hapo teh
We waache wajisahau baadaye wasianze kulaumu kuwa hawakujua wakati muda huu unaongea wanakuona JokerKesho mapema tu Ufaransa anabeba kombe kwa mara ya pili mfululizo! Huyo Messi atawekwa mtu kati, kiasi cha kuishia tu kuruka ruka kwa dakika zote 90!
SijaelewaDondoo:
Timu ya mwisho kutetea taji lake ni Brazil.
Brazil walifanya hivyo mwaka 1962 baada ya kutwaa ubingwa mwaka 1958.