Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
Baada ya Allison kufugishwa virago mwenzio nikahamia upande wa pili kwa AMF guru nambari 10...sasa wewe tulia huko huko mji wa marashi π€π€Bobby jamani,ungana na mimi jamani tumshabikie yule dogo Mbappe.
Come on π,achana na vibabu.
Inshaallah.... Morocco wamefungua njia kwa wengine kutoka Africa.Well Done Morocco, 2026 One of the African Team Will play Final
Duh it hurts,VVD na wenzie wajitahid wachukue hata the coming clup world cup 2025Uholanzi imefika fainali tatu za kombe la dunia na zote wameishia kupoteza.
Walifanya hivyo mwaka 1974 wakafungwa na Ujeruman Magharibi, mwaka 1978 wakafungwa na Argentina na mwaka 2010 walipofungwa na Spain.
Mbona kuna minara mnaonaje sasaupande wa pili wa shilingi...dunia ya tatuView attachment 2450141
Huoni kua 4th place ni jambo kubwa kwao?maarabu yaliona yamepata kila kitu hadi kuanza kuonesha ubaguzi wao adharani sasa yamengukia puwa.
Hapa wanaume tupige kura ya siri uone matokeo yatavyo kushangazaNdio
Mtoto wa nyoka naye nyoka
Hivi hili bifu letu na Morocco lilikuwa pia kwa madem zao? Wana pisi kali sana
Kesho wote kwa pamoja tutakiri Messi ndiye GOAT..We waache wajisahau baadaye wasianze kulaumu kuwa hawakujua wakati muda huu unaongea wanakuona Joker
Eti wanafanya mazoezi kabisa ya kunyanyua makwapa, we tulia tu...
Mgunda ana jinzi 1 sasa hata akisema abebe begi ataweka nini?Yanga wanacheza Dar ambapo ndio makao makuu ya Club yao yalipo
Sasa nashangaa kuona basi la timu limefika uwanjani halafu wachezaji wanashuka wakiwa na mabegi makubwa ya futi 4 hadi 5
Nimebaki najiuliza, kutoka Avic hadi kwa mkapa unabeba mbegi mkubwa kama ule, je siku wakienda Misri hawa itakuwaje?
Au wanabeba tu kama unyamwezi
Yani hiyo kesho hakikisheni mnachukua, vinginevyo sijui mtatuambia nini humu jukwaani maana maandalizi yenu yana fujoHii picha imepigwa kesho mida hiiView attachment 2450098
Nyie chukueni, ila mkishindwa msije na excuse za "lakini Mesai alicheza vizuri"Kesho wote kwa pamoja tutakiri Messi ndiye GOAT..
Halafu kuna tuzo moja ipo njiani kuungana na hizi hapa chini
ukikaidi utapigwa2 Tate Mkuu Its Pancho Interlacustrine E
Brazil alitwaa ubingwa mwaka 1958 michuano iliyofata mwaka 1962 akaenda kutetea ubingwa na kushinda tena. Tokea hapo hakuna tena bingwa aliyeweza kutetea ubingwa wakeSijaelewa
Yule mbaguzi mshindi wa nne ye shi ngapi anapewa??
Sisi tunachukua asubuhi tuuuYani hiyo kesho hakikisheni mnachukua, vinginevyo sijui mtatuambia nini humu jukwaani maana maandalizi yenu yana fujo
Hata Mayele ana jezi 1 tuMgunda ana jinzi 1 sasa hata akisema abebe begi ataweka nini?
Sawa tutaonaSisi tunachukua asubuhi tuuu
Africa maendeleo yanachelewa kwakuwa na idadi kubwa ya watu dizaini yako.Usicheze na mizimu ya kiafrika huoni walianza vema walivyotoa tu zile kauli vipigo vikaanza