Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Tumemaliza Novena leo tukiongozwa na Pop Francis kuiombea nchi yetu ya Argentina..hivyo ushindi upo miguuni....wale Brazili masalia tukutane huku kombe lirudi America.. [emoji3] [emoji3]
Beshti yake!!!!
 
Yaaan mashabiki wa argentina ni wengi sana uwanjani kama vile wameshajua kombe wanachukua, hivi watu wanaichukulia poa francee eeh, leo ndio mtaona mpira wa kibabe,... maana france, wana nguvu sio mchezo
Acha kujifariji, Messi ananyanyua kwapa leo na anatundika daruga kwa National team rasmi, kifupi anastaafu kwa heshima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…