muhweza
JF-Expert Member
- Feb 22, 2022
- 986
- 1,394
Tuzo za penaltyMessi atakomba tuzo zote aisee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuzo za penaltyMessi atakomba tuzo zote aisee...
Leo watalala vibaya hao..😂😂Saint Anne ndo tuseme umejipiga ban au? Oya mwanangu Scars sjakucheki kabisa asee
Kabisa mkuu, tutatuma ombi maalumu kumsihi asitundike daruga, bado wa moto sana.Huyu messi namuona tena akikichafua 2026
JAMAN LEO TUJIACHIE HUMU HADI PAST MID NIGHT WALITUSEMA SANAAAAAABaambiye ba watu ba ndugu zao na Congo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umetishaa mkuu,mashabiki wengi wa mpira tupo na ArgentinaWorld cup ya 2014 kama asingeumia Di Maria, walikua wanabeba Argentina. Kocha kajua Di Maria ni injury prone, ndio maana akamtunza kwaajili ya big ocassion!
Kila siku nawaambia humu, usitume wavulana kwenye shughuli ya wanaume. Mbappe hajui anafanya nini uwanjani, watu wanatembea nae kila sehemu. Wahuni wamevunja midfield, wafaransa hawatembei.
Ngoja tuone second half watarudi na mbinu zipi!
Leo watalala vibaya hao..😂😂Saint Anne ndo tuseme umejipiga ban au? Oya mwanangu Scars sjakucheki kabisa asee
Unataka mtu asipewe penalty kama anastahili?Argentina kila mechi wana penalty
SawaHuyu messi namuona tena akikichafua 2026
Wamepoteana kabisa wanasubiria miujiza kipindi cha piliHATA HUMU JF WEWE UNAWAONA
My darling Miss Liverpool vipi ubao ulipo wa magoli kunako Qatar unasoma vipi😀😀😀😀Ila siyo siri, Allison alitulaza na viatu
Jamaa kwenye penalty ni mweupe sana,bora hata ungedaka wewe Bobby.
Team Ronaldo mnahangaika leoKiukweli hizo penalties ndizo zinazupunguza ubora wa Mabingwa Argentina, yani tangu dunia iumbwe ndiyo maajabu yameikuta dunia 2022 kwa penati 5 kati ya mechi 7...[emoji38]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Saint Anne ndo tuseme umejipiga ban au? Oya mwanangu Scars sjakucheki kabisa asee
Upo wapi nikutoe out.. leo nafuraha sana Messi kafanywa niwe hai.. leo nakupa chochote utachosema 😅😅🤣🤣🤣🤣
U mean "ON TARGET"Ufaransa hata off target hamna, wanazurura zurura tu uwanjanj[emoji28][emoji28][emoji28]