Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Bila penaltyHii penalty naona imekua gumzo,
Hawa naona wanataka Messi awapigwe nyingne 2 za chenga mpaka kipa watulie.
Angekua na goli 2 tu!
Fact
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila penaltyHii penalty naona imekua gumzo,
Hawa naona wanataka Messi awapigwe nyingne 2 za chenga mpaka kipa watulie.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 No estas serioEnviare la tarifa, no temas
😂😂😂😂Tunawachekiiiiiiii hii ni mpaka itue Buenos Aires..Unafeli Captain.
Njoo usapoti kijana mwamba Mbappe.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣We Kenge usilazimishe kila Mtu apende unachopenda, duniani tuko Watu B 8 kasoro M 200, fikiri kwa akili za kuvukia barabara tu kuwa kwanini tusitofautiane upenzi na ushabiki wa timu na wachezaji?
Kenge wa bluu wewe.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Argentina akimuua Ufaransa, kuna mkereketwa wa Ronaldo niko naye hapa tumewekeana dau.....namuona amevimbaKwamaana ya kuisha 2:0 au?..
Kuna jezi ya dark blue imeandikwa namba 10 angalia kule juu utaona inazururaa uwanjaniMbappe yupo wapiiiii
France Leo watalala wamechoka Sana aisee!
Wamezidiwa mbinu, uwezo na nyota🐐France leo hawachezi kbs, yn km wao ndo wanaoongoza.