Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Daah yani leo France haieleweki fowadi nani beki nani yani hata Mbappe leo amegeuka beki

Kipa wa Argentina unaweza mpelekea hata blanketi akalala kabisa

France leo sijui miguu imepinda maana siyo kwa hizi nafasi wanazokosa
 
Daah yani leo France haieleweki fowadi nani beki nani yani hata Mbappe leo amegeuka beki

Kipa wa Argentina unaweza mpelekea hata blanketi akalala kabisa

France leo sijui miguu imepinda maana siyo kwa hizi nafasi wanazokosa
Game imewakataa leo, wamekua wazito sn
 
Penalties 5 zote kwa mechi 7 ndipo penye ukakasi wa kutopenda kabisa hili kombe la dunia [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
.
JamiiForums-350465214.jpg
 
Back
Top Bottom