Mkuu acha komedi, ulaya hamna futuhiDechamps anajua kusoma game. Game bado ipo
VAMOSSSSSSSVamosssss vamosssssssssss
Au sio mwamba?Utakuwa huifahamu Ufaransa wewe! Huyo Messi wako leo atawekwa mfukoni kwa dakika zote 90, na watoto wadogo tu wa miaka 20+!
tulieni mpate msaadaJamani aliyepo karibu na huyu mtangazaji wa TBC anayeitwa Nazareth Utepe amuambie atangaze Mpira. Jamaa anatumia muda mwingi kutoa Mipasho tuuuuuuuu hadi inaboa sana . Anatakiwa kuuzungumzia mpira unaochezwa na sio kutumia muda kuzungumzia maoni yake na mibasho.
Msikilizeni mtaona ninachokisema
Big G hiyoMESSI ANATAFUNA NINI
Kwani leo ndio nini eti sielewiiiuNiko Argentina Best yangu...
Unadhani naweza kuwa wapi tena[emoji23]
Anameno mengi sana,afu mipasho mingiJamani aliyepo karibu na huyu mtangazaji wa TBC anayeitwa Nazareth Utepe amuambie atangaze Mpira. Jamaa anatumia muda mwingi kutoa Mipasho tuuuuuuuu hadi inaboa sana . Anatakiwa kuuzungumzia mpira unaochezwa na sio kutumia muda kuzungumzia maoni yake na mibasho.
Msikilizeni mtaona ninachokisema
Kunywa mbegeWale Team Ronaldo mliohamia Team Mbappe Mko aje huko?
Au tuwaache kidogo[emoji1787]
Nyieee....
Mimi leo nina furaha ya Ajabu...
So?Oyaaa jamaa kapiga shuti golini
Big G hiyo
mechi zote muda woteeBig G hiyo
Where is your Mbappe?Hivi WC zingine huyo PESSI alikua wapi? Mbona hamkupata hiyo trophy nyie ArPENtina,loosers.
Kyky all the way[emoji1073][emoji1073][emoji1073]my ninja turtle young and fresh em muoneshe huyo babu keshachelewa akae atulie tu.
Kabisaa mzee..Bora angeenda yanga.