Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Jamani aliyepo karibu na huyu mtangazaji wa TBC anayeitwa Nazareth Utepe amuambie atangaze Mpira. Jamaa anatumia muda mwingi kutoa Mipasho tuuuuuuuu hadi inaboa sana . Anatakiwa kuuzungumzia mpira unaochezwa na sio kutumia muda kuzungumzia maoni yake na mibasho.

Msikilizeni mtaona ninachokisema
tulieni mpate msaada
 
Jamani aliyepo karibu na huyu mtangazaji wa TBC anayeitwa Nazareth Utepe amuambie atangaze Mpira. Jamaa anatumia muda mwingi kutoa Mipasho tuuuuuuuu hadi inaboa sana . Anatakiwa kuuzungumzia mpira unaochezwa na sio kutumia muda kuzungumzia maoni yake na mibasho.

Msikilizeni mtaona ninachokisema
Anameno mengi sana,afu mipasho mingi
 
Hivi WC zingine huyo PESSI alikua wapi? Mbona hamkupata hiyo trophy nyie ArPENtina,loosers.

Kyky all the way[emoji1073][emoji1073][emoji1073]my ninja turtle young and fresh em muoneshe huyo babu keshachelewa akae atulie tu.
Where is your Mbappe?
 
Back
Top Bottom