Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

20221122_143915.jpg
 
Mimi wala sishangai japo Saudia sio team kubwa lakini wana uzoefu sana na mashindano makubwa wameshiriki sana na huko nyuma wamefungwa sana ni process halafu hawa walikuwa wanawaalika sana hizi team kwao kucheza nao mechi za kirafiki imejenga kuondoa uwoga na kikubwa Saudia wame invest sana katika league yao na haya ndio matokeo kumbuka wote wanacheza league ya nyumbani
 
Back
Top Bottom