Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hapa sasa nipo kwenye mjadala wa kuchukua hela yangu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unafunga hatrick kwenye fainali na bado hunyanyui kwapa kudadadeki.
 
Mungu hatambui wanaochora chora mitatuu, akina Miss hawajui huyo Mungu unayemzungumzia zaidi ya mungu wa dunia hii (Shetani).

MAMBO YA WALAWI 19:27 - 28.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
DJ walete mashabiki wa ronaldo haha

Utasikia oo ronaldo atabaki kuwa goat mioyoni mwetu siku zote

Sasa hayo mambo ya mioyoni mwenu sisi hayatuhusu sisi tunaangalia rekodi tu kudadadeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…