Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
chuki hujazaliwa nayo unaweza kuiacha tuNimechukizwa na hawa kenge kuchukua hili kombe
Timu ikishajaa watu weusi wewe jua tu ni majanga kwenye matutaTatizo sio mtu mweusi
Mbape na Kolo Muani ni weusi au weupe
#Zanzibar tunasimama na mabingwa wenzetu#Argentina ni mabingwa wa Duniaaaaaa
Ubaya chuki yako haizuii mafanikio ya wengine.Nimechukizwa na hawa kenge kuchukua hili kombe
we jamaa naweCry more.
Mpira umekuwa mbovu tena, Argentina wameshinda.Kweli mbape amegeuza fainal mbovu paka kuwa nzuri
We end this all, by saying AMEN.Mjadala wa mchezaji bora kati ya CR7 na Messi ufungwe rasmi
How about CR7 (the world's most egotic player)?Ingekuwa si haki kwa mwanadamu kama Messi kustaafu pasipo kuwa na hii ndoo...isingekuwa haki
Ndugu yangu katika Imani, kama tulivyokubaliana huu ushindi ni kwa utukufu wa Mungu tunayemuabudu. Yesu ni Mkuu Sana.Mungu wa Ibrahim
Ninakushukuru sana na sifa na utukufu zikurudie wewe na sio Messi. Amen
Mungu ni mwema amempatia Messi kama wengi walivyoomba.Mungu ana mambo mengi mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]DJ walete mashabiki wa ronaldo haha
Utasikia oo ronaldo atabaki kuwa goat mioyoni mwetu siku zote
Sasa hayo mambo ya mioyoni mwenu sisi hayatuhusu sisi tunaangalia rekodi tu kudadadeki