Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Kwema sana Mpendwa....Kwema mpendwa
Habari za huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema sana Mpendwa....Kwema mpendwa
Nilikuwa nasubiria uje utoe neno la pongezi kwa ArgentinaShughuli na uzi imeisha ✌️
D was here
Hapana sijawahi kubet, ila nampenda sana Messi. Zile heka heka za kuanzia dakika ya 75 nusura zinitoe roho.Ulibeti?[emoji2][emoji2]
Au mpira umekuliza kwa furaha?
Na bado Ballon d'or.Pessi the GOAT
(Uchokozi) Ya mchongo hii mkuuMessiiiiii
Golden ball ndio tuzo gan hii
Adui muombee njaa ✌️Nilikuwa nasubiria uje utoe neno la pongezi kwa Argentina
Acha kabisa ni mida nilijuta, kwanini nilipenda mpira. Messi atakuja tuuwa bure.Dakika ya 80 ulipoteana kama ambavyo ilivyokuwa mimi dakika ya 37
kutoka timu iliyowekwa kwenye 3 mbaya hadi kutwaa kombeee hii ni maajabu ya Mungu mwenyeweWatesi wetu wooote wa WC 2018 wamelipaaaa
Haha mkubwa agenda imekuwa kupoteana tena siyo nani bingwaNachofurahi ni kuona kila mmoja humu kuna muda alipoteana kwa namna anayoijua yeye
😅😅😅😅 nilizima tv na kukimbia jf kwa mda nimerudi kuchungulia ndio nakuta Messi kashinda🤣🤣🤣🤣🤣
Tuachane tu na haya mambo, yana wenyewe. Mie sitaki tena.