nilikosa raha hadi sasa hivi siamini kama kombe tunalo mkononi....Kiukweli kuna muda baada ya kusawazisha ilikuwa inatokea nataka timu yangu ishinde lakini kila nilipokuwa namuangalia Di Maria akiwa analia, huruma inanijaa nafikiria vitu vingi.
Mchezaji ambaye ameonesha jitihada sana katika yale magoli mawili na jinsi gani haya mashindano aliyapa value halafu dakika za mwisho akiwa yupo nje mabao yote yamerudishwa??
Aisee mpira ni mkusanyiko wa hisia, hata humu nyinyi wenyewe mliodhani zile goli 2 ndio zingewafanya mmalize dakika 90 mkiwa mmwshinda, wote mlipoteana humu.
Sasa mkuu mbappe hana hata ballon d or mojaviatu vya messi ni vikubwa sana kwa mbapeee 😅😅😅 leo naona kijana kajua nani mkubwa kati yake na GOAT
Basi mwambie ni watanzania.Na mwambia mjomba hao weusi wanatokea ulaya ndio Ufaransa kagoma kabisaaa
Ndo mana watu hd wanazimia wengine kufa, dah mpira ni zaidi ya hisia.Kiukweli kuna muda baada ya kusawazisha ilikuwa inatokea nataka timu yangu ishinde lakini kila nilipokuwa namuangalia Di Maria akiwa analia, huruma inanijaa nafikiria vitu vingi.
Mchezaji ambaye ameonesha jitihada sana katika yale magoli mawili na jinsi gani haya mashindano aliyapa value halafu dakika za mwisho akiwa yupo nje mabao yote yamerudishwa??
Aisee mpira ni mkusanyiko wa hisia, hata humu nyinyi wenyewe mliodhani zile goli 2 ndio zingewafanya mmalize dakika 90 mkiwa mmwshinda, wote mlipoteana humu.
Hongereni, sisi tumekubali kushindwa, tunekubali Messi ni GOAT, tumekubali kuwa Messi vs CR7 basi mtu mfupi yuko juu. Tumekubali.Asante best hali ilikuwa tete, niliikimbia TV. Nikakimbia hapa. Nikawa naomba tu. Hatimaye tumesikiwa nasasa ni furaha kwa miaka 4 ijayo...
Mbappe ni mchezaji mzuri ila hayupo kwenye daraja la Messi .. bado ana safari ndefu sanaaaa mkuu.. Messi ana ka ulimwengu kake, Mbappe akaze tuLakini Mbappe amepiga hat trick, ana kiatu cha dhahabu mkuu, at just 23 unadhani huyu dogo mchezo?
Na ballon d o atachukuaYeah mfungaji bora MBAPPE, mchezaji bora MESSI. Naona Messi finally kapeleka heshima nchini kwake kwa kuvunja records zaidi ya tatu.
Umeona mfalme alicho valishwaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥 MessiiiiiiiiHongereni, sisi tumekubali kushindwa, tunekubali Messi ni GOAT, tumekubali kuwa Messi vs CR7 basi mtu mfupi yuko juu. Tumekubali.
Ila Mbappe anakuja kwa kasi sana.
SCARS hii offside unaizungumziaje Chifu, ni kweli ilikuwa offside au na mimi nina chuki binafsi kama mazumbukuku ya Miss penati na mbeleko FC/Argentina [emoji116][emoji848]Ana haki ya kuhuzunika kwasbabu wamemfelisha teammates wake ila kuhusu yeye ajue kabisa hana lawama
Kwani ulikuwa upande gani wewe🤣Wapii Saint Anne 🤣🤣🤣
Naku elewesha tena ndugu mkono ahuusiki kwenye mpira zaidi ni goli kipa Tu ivo vidole vipo kichwani?? Si mkononi ile penati ya mwisho ya France si mchezaji wa ARGENTINA MABINGWA WA DUNIA mpira ulizuiliwa na mkono ndio ikawa penati mbape akafunga kama mkono unahusika ile penati ilitokana na nini?Mwamuzi wa pembeni alinyosha kibendera lakini Refa akajizima data maana mpango wa FIFA ulishajulikana tu Miss Penalty na Mbeleko FC/Argentina wapite ila ukiiangalia picha vizuri kwa teknolojia ya VAR Mchezaji wa Mbeleko FC kazidi vidole [emoji38][emoji116]View attachment 2451081
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Messi asifananishwe na ujinga wwte tangia Leo , sio Pele wala Maradona wote weka kwenye dustbinHongereni, sisi tumekubali kushindwa, tunekubali Messi ni GOAT, tumekubali kuwa Messi vs CR7 basi mtu mfupi yuko juu. Tumekubali.
Ila Mbappe anakuja kwa kasi sana.
Tabu sana Mkuu.Kumbe ubovu wa mechi ulisababishwa na Argentina kuongoza? Plastic fans wana taabu kweli kweli.