Babe yaani Jumanne tu ndio ukimbie mji. Hebu kuwa na subra. Mbona sie tumesubiri hadi tunastaafu ndio tunapata kombe la dunia!!!Ukirudi hunikuti, nishatafuta mfaransa mwenzangu hapa🤣🤣🤣
We akili huna yaani kimbappe hakijitambua ndo umfananishe na messed una wazimu sana.Tatizo Mbappe ni ngozi nyeusi ila laiti angekuwa na ngozi ile kwa jinsi Miss penati alivyo na kashazeeka, huweziamini mpango wa kubebwa bebwa kama Miss ungeshaanza zamani sana tu ili awe mrithi wa Miss Penati.
Miss penati kalalamikiwa tuzo zote za balloon D'O 2010 na 2020 ambazo ingebidi wabebe Iniesta na Lewandosky 2020.
Mchezaji yupi tofauti na Miss penati aliwahi kulalamikiwa kupewa tuzo ya bure zaidi ya Miss penati pekee [emoji848][emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Muache banaHakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Ni kweli ata wasipofika fainali atapata tuHii lazima maana psg msimu huu nayo ileee fainalii
Haya mtani tufanye kama typping error 😀 😀 😀 😀Mtani hebu simba tuwaache kwanza. Utatuharibia usiku wetu🤣🤣🤣
Tuache ubaguzi wa rangi.. Kuna Ronaldinho Gaucho hakuwa mzungu, ila shughuli yake haikuwa pevu.. Mbappe ni mchezaji mzuri ila ana safari ndefuTatizo Mbappe ni ngozi nyeusi ila laiti angekuwa na ngozi ile kwa jinsi Miss penati alivyo na kashazeeka, huweziamini mpango wa kubebwa bebwa kama Miss ungeshaanza zamani sana tu ili awe mrithi wa Miss Penati.
Miss penati kalalamikiwa tuzo zote za balloon D'O 2010 na 2020 ambazo ingebidi wabebe Iniesta na Lewandosky 2020.
Mchezaji yupi tofauti na Miss penati aliwahi kulalamikiwa kupewa tuzo ya bure zaidi ya Miss penati pekee [emoji848][emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Finally, you did it.Narudia tena, lazima ulisotee haswa hili taji
Dada mie mpira sitaki tena🤣🤣🤣🤣Mimi kwa leo sina MAONI Beshti..
Nina furaha ya Ajabu...
HahahahhaaBabe yaani Jumanne tu ndio ukimbie mji. Hebu kuwa na subra. Mbona sie tumesubiri hadi tunastaafu ndio tunapata kombe la dunia!!!
Amna Mzee mech ya 16 Bora kawekwa bench dogo alieingia kuchukua nafas yake akaweka hatrick Safi utaanzaje kulalamika apo zaidi ya kuuchuna tuAnaonewa kweli mkuu
Wewe lejendi anaekwa benchi wedi kapu
Ana haki ya kulalamika
Ila ndo hivo tena umri umemtupa mkono
Sijui leo utalala na viatu maana aibu sana,ujui kutabiri acha mihemukoUtabiri ndo huo
Team Messi am sorry
Mbape atafanya jambo
Sikuwa na bando tu ningeandika sa Nyingi Sana😂😂
Updates:
Me pia Ni binadamu
Mkuu kama anakimbikimbia wasingeenda matutaWe akili huna yaani kimbappe hakijitambua ndo umfananishe na messed una wazimu sana.
Kale katoto kanakimbia kimbia tu hakana skills ndo uje fananisha na comlete player kama Messi..Kuwa na adabu!!
Tujipongeze red or white wine kidogoMimi kwa leo sina MAONI Beshti..
Nina furaha ya Ajabu...
Hongera mkuu kwa kuanzisha hii thread,tumeburudika sana kwa kweli.Nawashukuru wote tuliokuwa hapa kwa muda wa mwezi mzima na kufanikisha Argentina kutwaa ubingwa.View attachment 2451104