Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Baki na Miss penati wako, usinipangie ninachoamini maana hatuwezifanana mitazamo sawa duniani kote.Naku elewesha tena ndugu mkono ahuusiki kwenye mpira zaidi ni goli kipa Tu ivo vidole vipo kichwani?? Si mkononi ile penati ya mwisho ya France si mchezaji wa ARGENTINA MABINGWA WA DUNIA mpira ulizuiliwa na mkono ndio ikawa penati mbape akafunga kama mkono unahusika ile penati ilitokana na nini?
Mkono ndio ulileta penati autakiwkucheza mpira kama ni ivyo ile penat ya kunawa ya france basi sio halali au jibu ile penat ilitokana na nni?
Chukua [emoji115][emoji115] hiyo kwa faida zaidi ya afya ya akili yako.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app