Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Anaonewa kweli mkuu

Wewe lejendi anaekwa benchi wedi kapu

Ana haki ya kulalamika

Ila ndo hivo tena umri umemtupa mkono
LIONE MESS kwa herufi kubwa ni king ni mchezaji Bora kabisa lakini kutokana na kukosa kombe la dunia alikua anaonekana ni rofa au Fala flani kule ARGENTINA nimeandika kwa herufi kubwa sabab ni mabingwa sababu DIEOGO MARADONA alikua Bora dunian na alibeba world cup saiz anayo heshima katimiza kile wa ARGENTINA wali hitaji.
 
Ya mchongo kama ile waliomtapeli Lewandoski
Should I cry more
View attachment 2451090
Hao Kenge hawana akili kabisa [emoji1787]

Kweli mahaba ni upofu na upumbavu tupu [emoji23]

Huyo Miss penati wao hata angechukua balloon D'O mara trilioni bado sitamkubali kamwe hadi niingie mbinguni.

Ronaldinho ndiye KIUMBE HATARI sana kwangu [emoji3526]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
We mdada kuanzia leo Mimi nakusimika unabii utake usitake ushakua nabii ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…