Yani aachwe aliyeibeba timu yake kuipa kombe la dunia, aliyeipitisha timu yake mara mbili kwa kuokoa michomo ya penati, apewe Bono? Kwa kipi alichomzidi Martinez?Kwan bono hakuwepo apewe golden gloves
Ila next wc Messi hatakuwa na lake atakuwa amekuwa kibabuAsanteni wote tuliokuwa pamoja hapa kwenye WC 2022...
Nawapenda wote, nimejifunza vitu vipya kwenye mpira. Brazil ilituangusha wengine. Ila leo tunafuraha sababu ya Argentina. Kombe limeenda America kusini ndugu tu na Brazil.
WC 2022 imekuwa ya kustaajabisha, kusisimua, uchungu na furaha...
Timu zote zile hazikujua, zinawasindikiza kileleni Argentina.
Tuliokuwepo WC ya 2014 na 2018
ilikuwa Katavi akichagua tu team, jueni mmeliwa. 🤣🤣🤣🤣
This time ni Scars naona kila alipoenda wameliwa vichwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Panapo uzima tukutane WC ijayo...
Messi 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Mwenye picha ya messi na ile tuzo yake atupie humu
Robinho wengi pia walikuwa wana mkweza kuja ku takeover ... Mbappe yupo vizuri sana ila ana kazi ya ziada mzee.. tuache na Cillah tukajipongeze haya mambo ya Mbappe tutayajadili mwakani tukirudiHuwezi mfananisha Robinho na huyu dogo, at 23 mtu kama robinho hakuwa na lolote la kujivunia. Huyu ana ndoo ya WC na mengine mengi, achievement ya wedkap hii tu inatosha, hat trick a fainali hii tu ni gumzo, mpe heshima yake dogo Mbappe
Tunahamia kwa MbapeeeIla next wc Messi hatakuwa na lake atakuwa amekuwa kibabu
Mbappe ni mzuri but is not natural born talent yupo kama Christian Ronald jitihada binafsi ndizo zinamuweka kwenye chati.Much respect to Mbappe. Dogo yuko na potential kubwa sana ya kufanya makubwa. Anatakiwa tu kufanya maamuzi magumu atoke pale PSG. Akicheza pale Madrid, kuna uwezekano mkubwa akafikia records za hawa legends.
Hii ilikua fainali ya kiume sana. Ila kama kawaida, wahuni wameshinda. Nashukuru Mbappe kafunga penati kadhaa leo, ili zile kelele za Messi kufunga penati zisiwepo!
Scars na Saint Anne, kuweni na usiku mwema.
Baada Morocco kuwapiga kina Ronaldo niliuchukia sana uzi....nikahamia Morocco..nao wakaja kuliwa kidevuAsanteni wote tuliokuwa pamoja hapa kwenye WC 2022...
Nawapenda wote, nimejifunza vitu vipya kwenye mpira. Brazil ilituangusha wengine. Ila leo tunafuraha sababu ya Argentina. Kombe limeenda America kusini ndugu tu na Brazil.
WC 2022 imekuwa ya kustaajabisha, kusisimua, uchungu na furaha...
Timu zote zile hazikujua, zinawasindikiza kileleni Argentina.
Tuliokuwepo WC ya 2014 na 2018
ilikuwa Katavi akichagua tu team, jueni mmeliwa. 🤣🤣🤣🤣
This time ni Scars naona kila alipoenda wameliwa vichwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Panapo uzima tukutane WC ijayo...
Messi 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Taahira humjua Taahira mwenziye [emoji28]We akili huna yaani kimbappe hakijitambua ndo umfananishe na messed una wazimu sana.
Kale katoto kanakimbia kimbia tu hakana skills ndo uje fananisha na comlete player kama Messi..Kuwa na adabu!!
tuliwaona kina Robinho.. vichwa vikavimba wakapotoe
Finally He made itMwenye picha ya messi na ile tuzo yake atupie humu
Hahaha, mkuu nenda hata Ibiza, tumekubaliana na Antonnia kesho tunakwea pipa kwenda kufarijiana kwa kufungwa na shotiii🤣Robinho wengi pia walikuwa wana mkweza kuja ku takeover ... Mbappe yupo vizuri sana ila ana kazi ya ziada mzee.. tuache na Cillah tukajipongeze haya mambo ya Mbappe tutayajadili mwakani tukirudi
Hayo ndiyo manenoTunahamia kwa Mbapeee
Pole wewe ambaye unampenda sana Miss penati kuliko hata waliokuleta duniani [emoji23]Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
yanii france niliiogopa sana ila di maria aliwazima hadi pale kocha alipofanya makosa.....
Hao Kenge hawana akili kabisa [emoji1787]
Kweli mahaba ni upofu na upumbavu tupu [emoji23]
Huyo Miss penati wao hata angechukua balloon D'O mara trilioni bado sitamkubali kamwe hadi niingie mbinguni.
Ronaldinho ndiye KIUMBE HATARI sana kwangu [emoji3526]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwa mbinde kweliii...mechi ilikua ngumu hii ila AlhamudulilahKwa mbinde
Atulie pale PSG babu Messi amfundishe piraSijawahi kumkubali huyo dogo hana udambwi udambwi la Aguero tu ,hana jipya