Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Ma hater haitabadilisha kuwa Messi ni GOAT na kama atastaafu anastaafu kwa heshimaa.. yani hela zake anakulisha ww na ukoo wako mwaka mzima...ukimchukia hakujui unaemia ni wewe tuu huko nanjilinji mm ndo maana siwekagi chuki na walionizidi fwedhwaaa sasa unamchukia Cr7 kwa kipii??? Sema tu ni ile ushabiki ila ile mpk chuki kabisaaa mtu anakomaa lol
 
Tupia picha kali za world cup 2022
pl6aj16pzp6a1.jpg
20221218_195944.jpg
 
Asanteni wote tuliokuwa pamoja hapa kwenye WC 2022...
Nawapenda wote, nimejifunza vitu vipya kwenye mpira. Brazil ilituangusha wengine. Ila leo tunafuraha sababu ya Argentina. Kombe limeenda America kusini ndugu tu na Brazil.

WC 2022 imekuwa ya kustaajabisha, kusisimua, uchungu na furaha...
Timu zote zile hazikujua, zinawasindikiza kileleni Argentina.
Tuliokuwepo WC ya 2014 na 2018
ilikuwa Katavi akichagua tu team, jueni mmeliwa. 🤣🤣🤣🤣
This time ni Scars naona kila alipoenda wameliwa vichwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Panapo uzima tukutane WC ijayo...
Messi 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Ila next wc Messi hatakuwa na lake atakuwa amekuwa kibabu
 
Huwezi mfananisha Robinho na huyu dogo, at 23 mtu kama robinho hakuwa na lolote la kujivunia. Huyu ana ndoo ya WC na mengine mengi, achievement ya wedkap hii tu inatosha, hat trick a fainali hii tu ni gumzo, mpe heshima yake dogo Mbappe
Robinho wengi pia walikuwa wana mkweza kuja ku takeover ... Mbappe yupo vizuri sana ila ana kazi ya ziada mzee.. tuache na Cillah tukajipongeze haya mambo ya Mbappe tutayajadili mwakani tukirudi
 
Much respect to Mbappe. Dogo yuko na potential kubwa sana ya kufanya makubwa. Anatakiwa tu kufanya maamuzi magumu atoke pale PSG. Akicheza pale Madrid, kuna uwezekano mkubwa akafikia records za hawa legends.

Hii ilikua fainali ya kiume sana. Ila kama kawaida, wahuni wameshinda. Nashukuru Mbappe kafunga penati kadhaa leo, ili zile kelele za Messi kufunga penati zisiwepo!

Scars na Saint Anne, kuweni na usiku mwema.
Mbappe ni mzuri but is not natural born talent yupo kama Christian Ronald jitihada binafsi ndizo zinamuweka kwenye chati.
Wachezaji wengi wanao acha legacy nzuri kisoka ni wale ambao wanao dribble mpira/kupiga chenga kwa kiasi kikubwa na sio kukimbizana na Mpira.ndio maana gaucho amecheza kipindi kifupi kuliko CR7 lakini ukiwaleta katika mizani watu watamchagua Ronaldinho Richard ya kuwa na tuzo chache kuliko CR7.
 
Asanteni wote tuliokuwa pamoja hapa kwenye WC 2022...
Nawapenda wote, nimejifunza vitu vipya kwenye mpira. Brazil ilituangusha wengine. Ila leo tunafuraha sababu ya Argentina. Kombe limeenda America kusini ndugu tu na Brazil.

WC 2022 imekuwa ya kustaajabisha, kusisimua, uchungu na furaha...
Timu zote zile hazikujua, zinawasindikiza kileleni Argentina.
Tuliokuwepo WC ya 2014 na 2018
ilikuwa Katavi akichagua tu team, jueni mmeliwa. 🤣🤣🤣🤣
This time ni Scars naona kila alipoenda wameliwa vichwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Panapo uzima tukutane WC ijayo...
Messi 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Baada Morocco kuwapiga kina Ronaldo niliuchukia sana uzi....nikahamia Morocco..nao wakaja kuliwa kidevu
 
Hao Kenge hawana akili kabisa [emoji1787]

Kweli mahaba ni upofu na upumbavu tupu [emoji23]

Huyo Miss penati wao hata angechukua balloon D'O mara trilioni bado sitamkubali kamwe hadi niingie mbinguni.

Ronaldinho ndiye KIUMBE HATARI sana kwangu [emoji3526]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Chuki zitakuua kunywa maji mengi moyo ueleee utakufa kwa stress. Nyie ndo mlikua mnasema Argentina anatoka kwenye makundi. Mbappe hata level za Ronaldo hajafika ndo mmfananishe na Messi?? Nyie watu mna akili kweli??
 
Back
Top Bottom