BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Kwa hyo wanaangalia final tu?Yani aachwe aliyeibeba timu yake kuipa kombe la dunia, aliyeipitisha timu yake mara mbili kwa kuokoa michomo ya penati, apewe Bono? Kwa kipi alichomzidi Martinez?
GOAT mwenyewe huyooo.. π₯π₯π₯π₯π₯View attachment 2451153
Hatwareeeee
Kama siyo lazima kwanini uteseke na mimi hadi uninukuu [emoji848][emoji4]Ww ni nan ktk huu ulimwengu???.
Co lazima umkubali ww ila dunia inamtambua kuwa yy ni GOAT
Nadhani ubishani umeisha sasa,messi is G.O.A.TView attachment 2451056
Mbuzi kama GOAT
Huu ni mtazamo wakoHongera Argentina na Messi kwa kutwaa kombe la dunia kwa mara ya tatu ila Pele bado atabaki the greatest footballer of the all time kwa kutwaa taji hilo mara tatu kitu ambacho wachezaji wengi wameshindwa.
King Mbappe [emoji56]subiri kwanza dogo uwe na heshima umechukua tayar na Leo tena hapana call me
KING LIONEL ANDRESS MESSView attachment 2451122
Mwarabu anamzoom[emoji107][emoji107][emoji107]View attachment 2451164
Umeongea na Messi lkn au unaropoka ropoka kama kasuku?
Kipa Mhuni sanaMwarabu anamzoom
Anakazi ya kufanya pia tena nzito ilo kufikia sehemu ya mafanikio kama aliyo nayo Messi .. Ni mchezaji mzuri sana na anaweza ila ana safari ndefu
Kunywa maji uje uedit ulichoandika hapoNa kitoto chenu kimepewa penati 2 leo, muongee tena. πππ
Hongera Argentina na Messi kwa kutwaa kombe la dunia kwa mara ya tatu ila Pele bado atabaki the greatest footballer of the all time kwa kutwaa taji hilo mara tatu kitu ambacho wachezaji wengi wameshindwa.
Zumbukuku la Miss penati ongeza sauti [emoji28][emoji1732][emoji16]Na kitoto chenu kimepewa penati 2 leo, muongee tena. [emoji16][emoji16][emoji16]
Hao waarabu ndo saizi yake sio Argentina