Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Uwe na adabu kwa kijana wetu
1671388727811.jpg



Huyu ndo size yake.😂😂😂
 
Kipindi cha Messi na CR7 kimeisha sasa na inatosha. Dunia ya Soka ianze kukuza kizazi kipya, tuone damu mpya zikishindania mchezaji bora. Messi na aliyekuwa anampa changamoto yaan CR7 wabaki kwenye historia. Ni wakati wa kuwainua kina Mbappe, Halland na wengineo, Burudani ya soka na iendelee. Ni bahati kuwashuhudia CR7 na Messi wakicheza.
 
Back
Top Bottom