Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… unanilingishia, nyie loser hamuwezi kuwa na vibe kama letu ushindi plus furaha yani tunaenda baharini huko plus upepoo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Cillah utampa testimony huyu mzee wako
Kwakweli sherehe ya ushindi huwezi fananaisha na wa majonzi. Kwanza wanaweza jikuta badala ya kufurahia wanaanza kulia🀣🀣🀣
 
Hapo uliposema ni wakati wa kuwainua kina mbappe ndo nashindwa kukuelewa wainuliwe na nani kama sio performance ya uwanjani?
 
Debate ya niokkkoook

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kila mtu ashinde mechi zake
Nilikuwa very bizi mnoo, wale mbwa walikuwa wanabweka hapa mje hapa mbwa ninyi[emoji57]

Debate is over mahfakaa[emoji41]
 
Mabingwa wenzang nawasihi sana usibishane na Takatak kwa ss mda kubishana na hawa wachumia tumbo umeisha

Sisi ndo. Mabingwa wapya wa dunia hii kwa miaka mi4

Kmmmmmmk

We did it fellas in a hard way possible and it feels so sweet.. And haters can fck OFFFF [emoji41]

Vamooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…