ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Seriously hiyo Sala ulopiga Hapo ya ndani kabisa na nakuambia inawezekana hili kombe wewe ndo umelipeleka Argentina,...namshukuru Mungu ameweka karama ya kuomba ndani yangu sema tu shetani analijua hilo kwahyo anahakikisha siifanyiii kazi.
sifa ni kwa Mungu.
Kiatu cha dhahabu kileee [emoji117] 7 goals with 5 fantastic goals of the King Mbappe but not the same as Miss penati's 5 goals [emoji3059] View attachment 2451190View attachment 2451191View attachment 2451192
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
No ilitakiwa ulete ile aliyo mgaragaza KING LIONEL ANDRES MESS (10)Kwanza jina lake lina tamkwa kwa herufi kubwa aliyo mgaragaza kwenye world cup sio hawa mapopoma wa uharabuni ulaya.
Mamaah ang ilo umemaliza party litakuwepo na dress code ni uzi wa leo wa Argentina tuliobeba nao ubingwa.wapi hukooo?
na hyo party dress code ni jezi za argentina ili kuipa amsha vizuri. nlishangaa tunamalizaje bila pareeeeeeeeeeeeeee. unijulishe tuu
Kwanza mpira dhambiKipepe anawauliza huko tweeter
Okeee Messi kashinda
Haya acc yako imeongezeka sh ngapi?
Haha nachekaaa
Ila hobbies ziheshimiwe tu
Tunapata furaha za ushindi na hatuingizi hata mia mbovu ‘kwa tusiobet
Alamsiki thread!
Hakika hii ni 1 for the haters wakalie hapo watulie.
Wanakuja saiv wanatia tia huruma za kisenge hapa eti ooh sijui ikaenda ikarud kmmmk hakuna huruma sis ndo wa mwsh kucheka na tutacheka sana na party la Ubingwa halipoi kmmmk.
Vamoooooooooooooooooooooooooooos LA ALBICELESTE [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
hahahahaha eti nimelipeleka argSeriously hiyo Sala ulopiga Hapo ya ndani kabisa na nakuambia inawezekana hili kombe wewe ndo umelipeleka Argentina,...
Kalale sasa mashindano hayapo tena till 2026walitukana sanaaaaa
walitubeza sanaaaaaa
sema sisi tulikuwa na roho za paka tukawa tunaenda nao bampa to bampa
Kwa msio elewa sio Kwamba ivyo mnavyozani kafanya uhuni sio Ila apo alikua anajiandaa kunyanyua golden gloves yake[emoji107][emoji107][emoji107]View attachment 2451164
na kweli me mpira wangu ni wa kombe la dunia tuuuKalale sasa mashindano hayapo tena till 2026
Yah ni kweli ila si uliona mechi iliyofata hakuweza chochoteAmna Mzee mech ya 16 Bora kawekwa bench dogo alieingia kuchukua nafas yake akaweka hatrick Safi utaanzaje kulalamika apo zaidi ya kuuchuna tu
hahahahahaha where are all the haters? let them kiss their ****ses
Hlf nakuomba sana Nakadori usibishane tena na shabiki uchwara hawa waganga njaa.. Mda wa kubishana nao umeisha kwhy usiangaike tena mQuote hater.hahahahahaha where are all the haters? let them kiss their ****ses
Football has done Justice..football has won.hahahahaha eti nimelipeleka arg
nampenda messi baada ya kusoma background yake..........hadi kwenye familia yetu kuna mtu ameitwa jina la messi.... so niliumia sana alipodharauliwa na kubezwa. muache messi awe messi. he was a nobody ...ni football imembeba na kumuinua