Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

namshukuru Mungu ameweka karama ya kuomba ndani yangu sema tu shetani analijua hilo kwahyo anahakikisha siifanyiii kazi.
sifa ni kwa Mungu.
Seriously hiyo Sala ulopiga Hapo ya ndani kabisa na nakuambia inawezekana hili kombe wewe ndo umelipeleka Argentina,...
 

Attachments

  • FkSGqAkVsAA_iaT.jpeg
    157.5 KB · Views: 3
wapi hukooo?
na hyo party dress code ni jezi za argentina ili kuipa amsha vizuri. nlishangaa tunamalizaje bila pareeeeeeeeeeeeeee. unijulishe tuu
Mamaah ang ilo umemaliza party litakuwepo na dress code ni uzi wa leo wa Argentina tuliobeba nao ubingwa.

Hlf details za party utapata inbox yako..maana hatutak mamluki washabik wa Argentina tunajijua since day one tunafungwa na Saudi had leo tunakua Mabingwa.

Vamoooooooooos LA Albiceleste [emoji1033][emoji41]
 
Niko LINDO longoni beach apa navy njooni mniue [emoji38]
 

Walibonga mbovu since game ya Saudi Arabia, ila vidume tulisimamia msimamo wetu.

VAMOOOSSS ARGENTINA!![emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
Seriously hiyo Sala ulopiga Hapo ya ndani kabisa na nakuambia inawezekana hili kombe wewe ndo umelipeleka Argentina,...
hahahahaha eti nimelipeleka arg
nampenda messi baada ya kusoma background yake..........hadi kwenye familia yetu kuna mtu ameitwa jina la messi.... so niliumia sana alipodharauliwa na kubezwa. muache messi awe messi. he was a nobody ...ni football imembeba na kumuinua
 
Amna Mzee mech ya 16 Bora kawekwa bench dogo alieingia kuchukua nafas yake akaweka hatrick Safi utaanzaje kulalamika apo zaidi ya kuuchuna tu
Yah ni kweli ila si uliona mechi iliyofata hakuweza chochote
Ila ile mechi na moroco ilifaa aanze kwa ulijendi wake nchini

Anyway watu wana hulka tofauti tofauti
 
hahahahahaha where are all the haters? let them kiss their ****ses

Wamerudi huko kwenye mapango, kuna zile mbwa ziliokuwa zinadandia kila sahani ya chakula inayopita[emoji28][emoji28] sasa kwa gundu zao kila sahani imeanguka na chakula kumwagika damn!!
Wanalia njaa tu sahiii
 
hahahahahaha where are all the haters? let them kiss their ****ses
Hlf nakuomba sana Nakadori usibishane tena na shabiki uchwara hawa waganga njaa.. Mda wa kubishana nao umeisha kwhy usiangaike tena mQuote hater.

Sisi ndo Mabingwa wapya wa dunia lzm Tuwe na class tusijiingize kwny hoja uchwara za hawa takataka.

Tafadhali sana mamaah ang nakuomba tusipoteze hadhi yetu kama Mabingwa kubishana tena ubish Umeisha na sisi ndo Mabingwa wapya wa dunia.

Vamoooooooooos LA Albiceleste [emoji1033][emoji41]
 
Football has done Justice..football has won.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…