Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022


Kuna baadhi niliyosoma nao wamenitafuta kunipa hongera pia na uvumilivu na subra yangu ilivyokuwa kiwango cha lami[emoji28][emoji28]
 
The same kwenye ile game na Ausi, dakika za majeruhi angle hiyo hiyo alifanya save ya hatari mnoo[emoji1487]
Dah umenikumbusha na ile game pia asee jamaa ukifatilia stry yake ya mpr had leo hii ni bingwa wa dunia.. Asee inakupa sana motivation kwny maisha pambana usisikilize maneno ya mtu anaitwa mwanadamu atakukatisha tamaa.

Leo hii ndo amekua mtu wetu wa muhm baada ya Messi amekua ndo anaokoa 1v1 nyng za kutuweka kwny game Na amekua ndo anasave penalty za kutuvusha na had leo hii ni Mabingwa wapya wa dunia.

Vamoooooooooooooooooos [emoji1033]

MESSI THE GREATEST FOOTBALL PLAYER OF ALL TIMES [emoji238]
 
Very unsung hero jamaa kapiga mpr mwng sana tournament hii Kacheza vzr na kwa moyo m1 sana asee.

Yan asee kijana alikua vzr sana game krbia zote alizo cheza.

Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
Talent kubwa sana, upambanaji wa hali na mali jamaa namuona kabisa akisajiliwa club kubwa
 

Haipingwi hiyo mkuu, DIBU alikaa benchi pale Arsenal kwa takribani 10yrs.

Ndiyo akatimkia Aston Villa na nyota yake ikaanza kung’ara, hatimaye amekuja kuwa Kipa bora wa WC 2022.

Never give up kabisa chini ya hili jua[emoji1491]
 
Talent kubwa sana, upambanaji wa hali na mali jamaa namuona kabisa akisajiliwa club kubwa
Yan the stry ya hii team ni fighting spirit kila. Mtu anajitoa.. Hat kwny moment ngumu kama za game ya Holland na ya leo hii ambapo tuli give away a 2 goal caution lkn bado tulipambana na kwend kushinda na kubeba kombe asee hii team watu walikua wanatuchukulia poa kwa sbb ya chuki na Messi lkn sisi tumecheza mpr wa kikubwa sana baada ya ile game ya Saudi.

Vamoooooooooos [emoji1033]
 
Haipingwi hiyo mkuu, DIBU alikaa benchi pale Arsenal kwa takribani 10yrs.

Ndiyo akatimkia Aston Villa na nyota yake ikaanza kung’ara, hatimaye amekuja kuwa Kipa bora wa WC 2022.

Never give up kabisa chini ya hili jua[emoji1491]
Tena nakumbuka vzr alikuja pata nafas game ambayo kipa wa Arsenal yule mgerumani Leno kama sijakosea aliumizwa na Maupay ile. Game ya Brighton ndo potential yake sik ile. Ikaanza onekana.

Asee DIBU is one. Of those people ww kama ni mpambanaji wa maisha ni mfano wa kuigwa sana.

Vamoooooooooos [emoji1033]
 
Kwa kweli nilibadili channel nikaanza kuangalia muziki...aisee Lile bao la pili la mbappe liliniliza...cm niliweka mbali kabisa..
Sasa najiuliza Kama Mimi naumia hivi hao wenyewe wanaumia kiasi gani
Dah ilikua noma Sana..Mara unune mara ucheke
 
FIFA World Cup!
1) Lionel Messi has won the golden ball award
2) Kylian Mbappé took the golden boot award for being the top goal scorer
3) Emi Martinez takes the golden glove award
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…