Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kuanzia Jana na kuendelea nitakuwa shabiki lialia wa Mbappe,iwe jua iwe Mvua

My boy is exceptional[emoji3590]
Screenshot_20221218-214504.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Nawapongeza mashabiki wa argentina wote humu jamii forum

Safari ilikuwa ngumu lkn Mungu wa mbinguni alitupigania

Nimesoma comments zote nikiri wazi mashabiki wa argentina mpira wanaujua

No panic
No matusi
No hate language kwa wachezaji

Tulipofungwa mechi ya saudi arabia ndio nilifurahi sana ile ilikuwa ni wake up call kwa wachezaji walibadilika sana

Baada ya hapo mechi zote tulicheza vizuri mpaka jana

Makosa ya ottamend kusababisha tuta ndio kuliwarudisha ufaransa mchezoni

Maturity ya timu ilistahimili kipindi kigumu baada ya kusawazisha ufaransa

Mungu awabariki sana
Ningependa Christmas au new year tukutane tupate lunch km mshikamano, football huleta urafiki,undugu,upendo ujamaa

Kuna mashabiki washamba na wasio jua mpira wanamuita messi mfupi

Urefu wa messi ni 169cm na hiki ndicho kimo cha watanzania wengi tena wengi wanaishia 150cm

Ukiona shabiki anamshambulia mchezaji kwa lugha ya maumbile yake kwa chuki ujue huyo siyo mtu wa mpira ni kahaba aliyevamia mpira


Yote kwa yote football is a beautiful thing wandungu


Ile moment argentina anaongoza mbili kuna mzee alitoa ofa watu wanywe bia mbili wote
Ile bar ilikuwa na vibe

Ufaransa walipokuja kuchoka akainuka mfaransa akamlipa mzee bia zikatembea

Messi alipotuinua mzee wa argentina akatupiga round tena basi ikawa hivyo

Ni siku nyingine ambayo sitahisahau I love football
Sina cha kuongeza zaidi ya kusema our coach Lionel Scaloni deserves a massive respect kajenga team kujiamin na kupambania sana uzi wa Albiceleste.

He's the master mind[emoji817]

Vamooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
20221219_130150.jpg
 
Kufunga magoli kombe la Dunia na kuwa mfungaji bora sio kitu cha ajabu hata harry kane alikuwa mfungaji bora msimu uliopita

Ninachopenda nikwambie mpira wa mbape ni wa kawaida akifika 27 atakauwa kajichokea
Huwezi mfananisha Robinho na huyu dogo, at 23 mtu kama robinho hakuwa na lolote la kujivunia. Huyu ana ndoo ya WC na mengine mengi, achievement ya wedkap hii tu inatosha, hat trick a fainali hii tu ni gumzo, mpe heshima yake dogo Mbappe
 
Kufunga magoli kombe la Dunia na kuwa mfungaji bora sio kitu cha ajabu hata harry kane alikuwa mfungaji bora msimu uliopita

Ninachopenda nikwambie mpira wa mbape ni wa kawaida akifika 27 atakauwa kajichokea
Niambie mchezaji gani amewahi kufunga hat trick kwenye finals za world cup, dogo ameset record ya peke yake.
 
Niambie mchezaji gani amewahi kufunga hat trick kwenye finals za world cup, dogo ameset record ya peke yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kijana mimi sina wivu ninaongea mpira

Uchezaji wa mbape anatumia nguvu nyingi sana,mbio sana tena anacheza sehem moja tu ya uwanja

Huyo akifika miaka 27 anaweza kukosa timu kama ronaldo alivyokosa timu sasa

Katika umri alionao mbape,messi alishachukua mchezaji bora wa dunia

Na kukumbusha pia ufaransa anaweza asifike tena fainali ya kombe la dunia kwa miaka ishirini ijayo

Huu ni mpira
Wivu utakuua

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom