Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sina cha kuongeza zaidi ya kusema our coach Lionel Scaloni deserves a massive respect kajenga team kujiamin na kupambania sana uzi wa Albiceleste.Nawapongeza mashabiki wa argentina wote humu jamii forum
Safari ilikuwa ngumu lkn Mungu wa mbinguni alitupigania
Nimesoma comments zote nikiri wazi mashabiki wa argentina mpira wanaujua
No panic
No matusi
No hate language kwa wachezaji
Tulipofungwa mechi ya saudi arabia ndio nilifurahi sana ile ilikuwa ni wake up call kwa wachezaji walibadilika sana
Baada ya hapo mechi zote tulicheza vizuri mpaka jana
Makosa ya ottamend kusababisha tuta ndio kuliwarudisha ufaransa mchezoni
Maturity ya timu ilistahimili kipindi kigumu baada ya kusawazisha ufaransa
Mungu awabariki sana
Ningependa Christmas au new year tukutane tupate lunch km mshikamano, football huleta urafiki,undugu,upendo ujamaa
Kuna mashabiki washamba na wasio jua mpira wanamuita messi mfupi
Urefu wa messi ni 169cm na hiki ndicho kimo cha watanzania wengi tena wengi wanaishia 150cm
Ukiona shabiki anamshambulia mchezaji kwa lugha ya maumbile yake kwa chuki ujue huyo siyo mtu wa mpira ni kahaba aliyevamia mpira
Yote kwa yote football is a beautiful thing wandungu
Ile moment argentina anaongoza mbili kuna mzee alitoa ofa watu wanywe bia mbili wote
Ile bar ilikuwa na vibe
Ufaransa walipokuja kuchoka akainuka mfaransa akamlipa mzee bia zikatembea
Messi alipotuinua mzee wa argentina akatupiga round tena basi ikawa hivyo
Ni siku nyingine ambayo sitahisahau I love football
Huwezi mfananisha Robinho na huyu dogo, at 23 mtu kama robinho hakuwa na lolote la kujivunia. Huyu ana ndoo ya WC na mengine mengi, achievement ya wedkap hii tu inatosha, hat trick a fainali hii tu ni gumzo, mpe heshima yake dogo Mbappe
Wivu utakuuaKufunga magoli kombe la Dunia na kuwa mfungaji bora sio kitu cha ajabu hata harry kane alikuwa mfungaji bora msimu uliopita
Ninachopenda nikwambie mpira wa mbape ni wa kawaida akifika 27 atakauwa kajichokea
Bobyyy🥺Saint Anne habari unayo.
Pole. We live to fight another day leo ndio kama unavyoona aisee.
Messi being Messi n his bad boys crew... Hapana chezea.
YNWA
Nilale na Amani ya Bwana sasa...
Dunia Imefurahi...
Argentina Imefurahi...
Messi amefurahi..
Na Mimi nimefurahi zaidi.
Niambie mchezaji gani amewahi kufunga hat trick kwenye finals za world cup, dogo ameset record ya peke yake.Kufunga magoli kombe la Dunia na kuwa mfungaji bora sio kitu cha ajabu hata harry kane alikuwa mfungaji bora msimu uliopita
Ninachopenda nikwambie mpira wa mbape ni wa kawaida akifika 27 atakauwa kajichokea
Ahsante Mkuu..Hongera mkuu very humble
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niambie mchezaji gani amewahi kufunga hat trick kwenye finals za world cup, dogo ameset record ya peke yake.
Fuatilia fainali ya 1966 kati ya England na West German rhen rudi hapa tuendeleeNiambie mchezaji gani amewahi kufunga hat trick kwenye finals za world cup, dogo ameset record ya peke yake.
Huu tunaenda nao hadi 2026. Kama umechoka unaamsha tu mkuu kikubwa naamini hamna atakae kumiss
Chawa wa anduje wameweka kambi hapa hawataki uzi ufungwe hadi anduje awape mgao wao 😂😂
Sasa mbona unanicheka mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Geoff Hursts Mkuu wa England [emoji1022]Niambie mchezaji gani amewahi kufunga hat trick kwenye finals za world cup, dogo ameset record ya peke yake.
Wa manzese labda
Are you serious bro?sitaki kuamini kama wewe ni die hard fan wa football never everKufunga magoli kombe la Dunia na kuwa mfungaji bora sio kitu cha ajabu hata harry kane alikuwa mfungaji bora msimu uliopita
Ninachopenda nikwambie mpira wa mbape ni wa kawaida akifika 27 atakauwa kajichokea
KUMAnisha nn[emoji848]